spika wa bunge na makamu mwenyekiti wa sisiem atakuwepo leo saa tatu usku hotel ya moven pick kwenye mjadala wa katiba,ITV na Redio one watakuwa live kwenye tukio hilo.Je atazungumza pointi au ni wale wale akina kombani na werema?
Nawaomba kuwasilisha:msela:
Nawaomba kuwasilisha:msela: