lastman
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 402
- 226
Haiwezekeni mchezaji makini aliejindaa kwa mechi afunge bao kwa mkono. Goli kama hilo litafutwa na refa. Naomba wananchi wapuuzie maneno ya upuuzi kama hayo.
Kufunga goli la mkono ni faul na moja kwa moja litakataliwa na refa ambayo ni Tume ya Uchaguzi. Kauli mbaya kama hizo zinaweza kufanya Wananchi kukosa imani na Serikali na kuleta machafuko na ninaamini haya ninayoyasema ndio msimamo wa chama changu.
Pius Msekwa.2.07.2015 (ITV, kipindi cha Mzelendo).
Huyu nape sijui alipataje hii post.
Kufunga goli la mkono ni faul na moja kwa moja litakataliwa na refa ambayo ni Tume ya Uchaguzi. Kauli mbaya kama hizo zinaweza kufanya Wananchi kukosa imani na Serikali na kuleta machafuko na ninaamini haya ninayoyasema ndio msimamo wa chama changu.
Pius Msekwa.2.07.2015 (ITV, kipindi cha Mzelendo).
Huyu nape sijui alipataje hii post.