Msekwa amvaa Nape

Msekwa amvaa Nape

lastman

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
402
Reaction score
226
Haiwezekeni mchezaji makini aliejindaa kwa mechi afunge bao kwa mkono. Goli kama hilo litafutwa na refa. Naomba wananchi wapuuzie maneno ya upuuzi kama hayo.

Kufunga goli la mkono ni faul na moja kwa moja litakataliwa na refa ambayo ni Tume ya Uchaguzi. Kauli mbaya kama hizo zinaweza kufanya Wananchi kukosa imani na Serikali na kuleta machafuko na ninaamini haya ninayoyasema ndio msimamo wa chama changu.

Pius Msekwa.2.07.2015 (ITV, kipindi cha Mzelendo).


Huyu nape sijui alipataje hii post.

 
lastman

sic "Watoto wa Kikopo" aka Vuvuzela!!
 
Last edited by a moderator:
lastman

Unauliza kweli hujui alipataje hiyo nafasi wakati baba yake yupo jengo jeupe?
 
Last edited by a moderator:
Ivi kati ya msekwa na nape nani ni msemaji wa chama? mm naamini kauli ya msemaji ndiyo imetoka chumbani kabisa. labda nape alaumiwe kwa kusema siri za chama hadharani

Analaumiwa kwa kutoa siri za chama,kwani anataka wamfukuze ajiunge na ccj
 
Kama refa (tume ya uchaguzi)wanauwezo wa kuzuia goli la mkono mbona hawakuweza kuzuia magoli ya mkono kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa wakati yalikuwa mengi sana mpaka vipofu walikuwa wanayaona.
 
Nape Nnauye amevujisha siri za chama chake kuwa CCM iko kwenye maandalizi ya goli la mkono.
It is true.

Ni kwa nini 'refa' Tume ya uchaguzi hadi hivi leo hawajaitolea ufafanuzi taarifa ya hatari kama hiyo ambayo inaweza kuleta machafuko nchini?

Hapo tunapata ushahidi wa mazingira kuwa Tume hiyo itakuwa imepewa 'maelekezo' ya kulikubali goli hilo la mkono na 'mabosi' wao wa Sisiemu.
 
Last edited by a moderator:
Nape kaongea ukweli, hilo halina ubishi... Mikina Msekwa hii inaishi kwa mazoea ya kudanganya!
 
Kwani upinzani wako wp mpaka sasa hiv hawajaongea kuhusu hii kauli ya mropokaji wa Ma ccm?mwaka huu hatukubali Ng'ooooooooooooooo
 
Kwani upinzani wako wp mpaka sasa hiv hawajaongea kuhusu hii kauli ya mropokaji wa Ma ccm?mwaka huu hatukubali Ng'ooooooooooooooo

Upinzani upi??!!
Upinzani as upinzani hawana nia ya dhati na uongozi mkuu, wapo kwa mambo yao zaid. . . . .
 
Kama hujui ni upinzani upi ninaousema bc ujue UKAWA labda wanasubiri ccm ichemke kwa mtu anaekubalika na wananchi alafu SEBENE LIANZE!!!
 
watoto ambao hawana baba maalum wanashida sana nadhani ni matatizo ya kisaikolojia tu
 
nepi msema ovyo.Goli la mkono.Nape amelewa madaraka
 
Mzee Msekwa amechelewa, siri imefichuka, tumemsikia Nape CCM wameshatoa maagizo kwa NEC wairudishe CCM madarakani hata kama wapiga kura wakiikataa.
 
Back
Top Bottom