Leo nilikuwa namsikiliza JK.
kuna sehemu amenihuzunisha sana pale nilipomsikia anaimba
JK:"Daraja Daraja Daraja "
hicho kibwagizo kimenionyesha huyu mtu ni Msanii wa bongo flavor ila kakosea njia na kuingia kwenye siasa na ndio maana anaendesha nchi kisanii
Leo nilikuwa namsikiliza JK.
kuna sehemu amenihuzunisha sana pale nilipomsikia anaimba
JK:"Daraja Daraja Daraja "
hicho kibwagizo kimenionyesha huyu mtu ni Msanii wa bongo flavor ila kakosea njia na kuingia kwenye siasa na ndio maana anaendesha nchi kisanii