Msanii wa Bongo flava Samiri abadili Dini

Kwanini kubadili Dini kutoka Ukristo kwenda uislamu inakua story Sana??
Wanaotoka uisilamu kwenda Ukristu hufanya hivyo kimya kimya au kwa siri kwa hofu ya kudhuriwa maana imani ya kiisilamu inatoa ruhusa kwa aliyeritadi kuuawa, ndio maana inaonekana kama sio stori maana ikisambaa ni hatari kwa mtu huyo
 
Kwanini kubadili Dini kutoka Ukristo kwenda uislamu inakua story Sana??

Na kwanini kutoka uislamu kwenda Ukristo inachukuwa kawaida tuu

View attachment 3437768
Hichi kitu huwa ni nadra sana na inakuwa si habari kwa mkristo kwenda kwenye uislamu kwa hilo ndilo lililozoeleka.
Na kwa kijana wa kiislam anayeufahamu uislamu wake ni ngumu kufanya hayo maamuzi.
 
Hichi kitu huwa ni nadra sana na inakuwa si habari kwa mkristo kwenda kwenye uislamu kwa hilo ndilo lililozoeleka.
Na kwa kijana wa kiislam anayeufahamu uislamu wake ni ngumu kufanya hayo maamuzi.
Nyie hamukawii kumchinja mtu
 
Huyo amebalikiwa sasa

Katoka gizan kaingia kwenye nuru

YESU KRISTO ndie njia ya kweli na uzima

Ana bahati sana
 
Kwa mujibu wa Aya za allah mtu ukiritadi anauwawa.
 
Kama hajavunja sheria za nchini ni haki yake kikatiba kuchagua dini anayotaka.
 
Mungu ni mmoja, ila kizazi cha binaadamu ndiyo kinajidai kumjuwa Mungu kuliko Mungu anavyowajuwa na kuanzisha dini mbali mbali zinazokinzana.
 
Soon anakuwa nabii wa ajabu😁,

Akili mtu wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…