Wanaotoka uisilamu kwenda Ukristu hufanya hivyo kimya kimya au kwa siri kwa hofu ya kudhuriwa maana imani ya kiisilamu inatoa ruhusa kwa aliyeritadi kuuawa, ndio maana inaonekana kama sio stori maana ikisambaa ni hatari kwa mtu huyo
Wanaotoka uisilamu kwenda Ukristu hufanya hivyo kimya kimya au kwa siri kwa hofu ya kudhuriwa maana imani ya kiisilamu inatoa ruhusa kwa aliyeritadi kuuawa, ndio maana inaonekana kama sio stori maana ikisambaa ni hatari kwa mtu huyo
Hichi kitu huwa ni nadra sana na inakuwa si habari kwa mkristo kwenda kwenye uislamu kwa hilo ndilo lililozoeleka.
Na kwa kijana wa kiislam anayeufahamu uislamu wake ni ngumu kufanya hayo maamuzi.
Hichi kitu huwa ni nadra sana na inakuwa si habari kwa mkristo kwenda kwenye uislamu kwa hilo ndilo lililozoeleka.
Na kwa kijana wa kiislam anayeufahamu uislamu wake ni ngumu kufanya hayo maamuzi.