Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,111
- 158,967
Acha kuzunguka zunguka, we toa hiyo mistari humu watu tusome tuthibitishe hicho usemacho, period.Nimekuuliza,Maandiko ya Biblia Takatifu unayaamini kwamba ni neno la Mungu aliye juu?.
Mimi nipo tayari kukpa vifungu kama unaiamini Biblia.
Kama huiamini,kukupa vifungu itakuwa sawa na kukaa upenuni kwa wenye mizaha.
Kuanza kuzunguka zunguka sio dalili nzuri, linapojadiliwa suala linalohusu wakristo basi ushahidi pekee unaotakiwa ni maandiko ya Biblia, hayo ya kuuliza sijui unaamini au la ni kutafuta mlango wa kutokea tu.