Msanii Robert Powell awaambia mashabiki yeye si Yesu

Clabo1

Member
Sep 25, 2016
98
64
images-Jesus_Christ_288595073.jpg
images%2840%29.jpg
 
Hakuna anayemuabudu yeye! Ila kama hataki picha itumike sawa ila akatae na pesa alizopata kumuigiza Yesu! Nakubaliana na ujumbe wake wa mwisho
 
Jaman! Katika biblia kuna sehemu inasema.... Mungu ni Roho, pia ikasema tena Wahabudiwa halisi watamwabudu Bwana katika Roho na Kweli. Ukitaka kujua Bwana ni nani Rudi pale katika Zaburi ya 100 Kuanzia mstar wa kwanza. Ondoa iyo picha na hacha kuipgia magoti... Hata kama unaisijudu na unajibiwa maombi yako Mungu ni wa hajabu sana! Rudi hapa 2wathesalonike 2:11
 
Ametoa ushauri mzuri tu maana ni ukweli usiopingika wapo watu wasio na maarifa ambao watakua wanamuabudu badala ya kuchukulia kuwa alikuwa anaigiza kwa lengo la kujipatia kipato.
 
Wakatoriki wanaongoza! Mpaka msalaba wamemchongea na kuusimamisha huku na kuubeba beba imeambatana na kinyago cha uyu MTU.

Mkuu, tuchukulie suala la ujinga, sidhani kama mtu anaweza akasema eti fulani anaongoza ila wee ni mjinga kidogo, NO.

ujinga ni ujinga tu haijalishi mmoja ni mjinga sana na mwengine ni mjinga kiasi mi nadhani hawa wote wanaingia kwenye kundi moja tu au nimekosea kiongozi...?
 
Hakuna anayemuabudu yeye! Ila kama hataki picha itumike sawa ila akatae na pesa alizopata kumuigiza Yesu! Nakubaliana na ujumbe wake wa mwisho

Akatae vipi na yeye ameshasema kuwa yeye ni comedy na alikuwa kazini kwenye kuigiza na kazi yake ameshamaliza.

Kwa hiyo hizo pesa ni jasho lake usipindue mada hapa tunaongelea kuhusu kuabudu hiyo picha na sanamu za huyo jamaa.

Unazungumziaje kuhusu hilo suala la hizo picha na sanamu mlizoweka madhabahuni kuziabudu Unazungumziaje hilo suala ndilo linaloongelewa hapa ndugu.

Hebu niambie tuone upeo wako wa kufkiri jinsi ulivyo.

Karibu Sana.
 
Yaani huyu jamaa ana kazi mpaka watu waje wamuelewe. Leo hii ukitaka ufe uchukue picha yake uichome hadharani,...huku africa ndio huwaambii kitu. wanajua huyo ndie yesu hasaaa. Tukijua teknolojia ya kuchukua picha imekuwepo tangu lini tutufahamu kuwa hakuna picha ya yesu.
 
Yaani huyu jamaa ana kazi mpaka watu waje wamuelewe. Leo hii ukitaka ufe uchukue picha yake uichome hadharani,...huku africa ndio huwaambii kitu. wanajua huyo ndie yesu hasaaa. Tukijua teknolojia ya kuchukua picha imekuwepo tangu lini tutufahamu kuwa hakuna picha ya yesu.

Unajua kama mtu anafanya jambo kwa kutokujua linaweza likaeleweka kuwa alikuwa hajui.

Lakini mtu baada ya kujua na kufaham kuwa jambo fulani sio sahihi kulifanya mtu anatakiwa kuacha na kubadilika. Ila kwa sababu ni mijitu inayopelekwa kama mikondoo basi nayo inaenda tu kama mikondoo kweli.

Baada ya kujua hilo utakuta jitu lilivyo jinga linashindwa hata kuhoji viongozi wa dini yake ili kupata mawazo yao, lakini utakuta jitu lipo tu na linaendelea kuburuzwa tu kama kondoo.

Ni hatari sana kwa kweli.

Cc Farudume, Eiyer, Ishmael
 
Back
Top Bottom