Msanii Nikki Mbishi amuomba msamaha Kikwete

Ni mnafiki mkubwa.
Yeye na wenzake walikuwa wako mbele kweli kweli kumpigia kampeni Magufuli na CCM 2015, wakisema Tz tumepata masihi, leo anajifanya kumwomba radhi Kikwete, For what reason?
Sote tunajua kabisa Magufuli ni matokeo ya ule ujanja ujanja wa Kikwete kukata majina ya wagombea wengine ndani ya CCM.

Alipaswa aje haraka sana kutuomba radhi sisi watanzania kwa utapeli wao wa kutuingiza chaka 2015 ili tumchague Magufuli ambaye mapema kabisa ameshindwa vibaya.
 
Ni mnafiki mkubwa.
Yeye na wenzake walikuwa wako mbele kweli kweli kumpigia kampeni Magufuli na CCM 2015, wakisema Tz tumepata masihi, leo anajifanya kumwomba radhi Kikwete, For what reason?
Sote tunajua kabisa Magufuli ni matokeo ya ule ujanja ujanja wa Kikwete kukata majina ya wagombea wengine ndani ya CCM.

Alipaswa aje haraka sana kutuomba radhi sisi watanzania kwa utapeli wao wa kutuingiza chaka 2015 ili tumchague Magufuli ambaye mapema kabisa ameshindwa vibaya.

Wakati Jakaya anamkata Lowassa July11,2015 hata Tovuti ya Chadema ilikuwa Ina Jina la Lowassa Kama Fisadi Papa
 
Wanaisoma hii formular baada ya number kushindikana
eq0029P.gif
 
Hook:
It will one day make sense/Nikisema hakuna president kama JK/
Tanzania inakumiss yaani daily/
Kwa niaba ya wabongo I’M SORRY JK/
Lyrics:1
I’m sorry JK nimeona tu niseme/
Mzuka huu niliupata nikiwa Juu Kijenge/
Mikopo hakuna tena huendi chuo kikuu kizembe/
Bungeni wanalewa wanabonga tu king’eng’e/
Wakitwanga wanatamba wakisanda wanatubu/
Simuoni tena Jay tangu akutane Sugu/
Scorpion amegeuka ghostface mwema/
Aliyeota Rais atakufa anaitwa Godbless Lema/
RC na Wasafi uswazi madefender/
Hapa Kazi tu mtaani njaa kali sio sinema/
Kama kuisoma tushaisoma namba/Ungegombea awamu ya tatu ingekuwa bora labda/
Lyrics:2
Enzi za bibi cheka wengi walikuita babu cheka/
Hawakujua kuwa nyakati zinakuja nakusepa/
Ulivunga wakibeza kuwa unapenda sana bata/
Na kiki ka” Makonda za Wasafi kuwafuata/
Wabongo watakumbuka kwenye sekta ya michezo/
Mpaka Taifa Stars nayo ikaonesha mauwezo/
Ukaongeza vigezo nyenzo matengenezo/
Leo Samatta ndo kinara na hachezi soka la dezo/
Tuzungumze magazeti Bunge wanaedit/
Hakuna mikakati bwana kumbe wanaekti/
Demokrasia demoghasia za Field Force/
Wengi wanafear ukweli kuwaambia Unju siogopi/
Mabenki yanafilisika madeni yanamimika/
Hali imekuwa ngumu hadi wageni wanasikitika/
Hatusheshi na shisha yaani sio fresh inatisha/
Bar mwisho saa sita siku hizi hatukeshi kabisa/
Lyrics:3
Kila taarifa ya habari leo JPM/
Pesa imepotea kimazingara David Blaine/
Waathirika hawaelewi juu ya mipango ya Bukoba/
Tetemeko wasije kula michango ya Msoga/
Tumekosa usitupe laana tucorrect/
Weka kando chama tuwe wana tuconnect/
Hela imefichwa nyuma ya Pazia la viwanda/
Njoo Sogodo uone Tanzania ya vibanda/
Uone chafu moja na askari mia wakisanda/
Chocho za Panya Road mixer pwiya la miganja/
Kuna nyakati nilikudiss JK/
Now I’m calling for the peace,DAMN! We miss JK/
By Nikki Mbishi 2016
 
Hook:
It will one day make sense/Nikisema hakuna president kama JK/
Tanzania inakumiss yaani daily/
Kwa niaba ya wabongo I’M SORRY JK/
Lyrics:1
I’m sorry JK nimeona tu niseme/
Mzuka huu niliupata nikiwa Juu Kijenge/
Mikopo hakuna tena huendi chuo kikuu kizembe/
Bungeni wanalewa wanabonga tu king’eng’e/
Wakitwanga wanatamba wakisanda wanatubu/
Simuoni tena Jay tangu akutane Sugu/
Scorpion amegeuka ghostface mwema/
Aliyeota Rais atakufa anaitwa Godbless Lema/
RC na Wasafi uswazi madefender/
Hapa Kazi tu mtaani njaa kali sio sinema/
Kama kuisoma tushaisoma namba/Ungegombea awamu ya tatu ingekuwa bora labda/
Lyrics:2
Enzi za bibi cheka wengi walikuita babu cheka/
Hawakujua kuwa nyakati zinakuja nakusepa/
Ulivunga wakibeza kuwa unapenda sana bata/
Na kiki ka” Makonda za Wasafi kuwafuata/
Wabongo watakumbuka kwenye sekta ya michezo/
Mpaka Taifa Stars nayo ikaonesha mauwezo/
Ukaongeza vigezo nyenzo matengenezo/
Leo Samatta ndo kinara na hachezi soka la dezo/
Tuzungumze magazeti Bunge wanaedit/
Hakuna mikakati bwana kumbe wanaekti/
Demokrasia demoghasia za Field Force/
Wengi wanafear ukweli kuwaambia Unju siogopi/
Mabenki yanafilisika madeni yanamimika/
Hali imekuwa ngumu hadi wageni wanasikitika/
Hatusheshi na shisha yaani sio fresh inatisha/
Bar mwisho saa sita siku hizi hatukeshi kabisa/
Lyrics:3
Kila taarifa ya habari leo JPM/
Pesa imepotea kimazingara David Blaine/
Waathirika hawaelewi juu ya mipango ya Bukoba/
Tetemeko wasije kula michango ya Msoga/
Tumekosa usitupe laana tucorrect/
Weka kando chama tuwe wana tuconnect/
Hela imefichwa nyuma ya Pazia la viwanda/
Njoo Sogodo uone Tanzania ya vibanda/
Uone chafu moja na askari mia wakisanda/
Chocho za Panya Road mixer pwiya la miganja/
Kuna nyakati nilikudiss JK/
Now I’m calling for the peace,DAMN! We miss JK/
By Nikki Mbishi 2016
kazi ya sanaa
 
Ni mnafiki mkubwa.
Yeye na wenzake walikuwa wako mbele kweli kweli kumpigia kampeni Magufuli na CCM 2015, wakisema Tz tumepata masihi, leo anajifanya kumwomba radhi Kikwete, For what reason?
Sote tunajua kabisa Magufuli ni matokeo ya ule ujanja ujanja wa Kikwete kukata majina ya wagombea wengine ndani ya CCM.

Alipaswa aje haraka sana kutuomba radhi sisi watanzania kwa utapeli wao wa kutuingiza chaka 2015 ili tumchague Magufuli ambaye mapema kabisa ameshindwa vibaya.
Usimlaumu kwani binadamu wote tunajifunza kutokana na makosa
 
Ni mnafiki mkubwa.
Yeye na wenzake walikuwa wako mbele kweli kweli kumpigia kampeni Magufuli na CCM 2015, wakisema Tz tumepata masihi, leo anajifanya kumwomba radhi Kikwete, For what reason?
Sote tunajua kabisa Magufuli ni matokeo ya ule ujanja ujanja wa Kikwete kukata majina ya wagombea wengine ndani ya CCM.

Alipaswa aje haraka sana kutuomba radhi sisi watanzania kwa utapeli wao wa kutuingiza chaka 2015 ili tumchague Magufuli ambaye mapema kabisa ameshindwa vibaya.
Hawakujua kitakachojiri mbeleni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom