Cherecheche
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 4,731
- 9,015
Nimeishia hapo kwa rayvany
Unajua unachokiongea lakiniBongo fleva ni mziki ulikuwa unafanya vinzuri Africa mashariki na katiulipo kuja ujio wa nyimbo za Nigeria ndio ulidhoofisha mziki wetu walikuwa wakina jai martin,na kina d banj
Naunga mkono hojaZuchu hana uandishi mnzuri wa nyimbo