kifinga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 5,249
- 9,499
ha ha ha ha ha nimekumbuka mkuu alikua anamfuata hadi ofisini demu akawa anachomoa kuna siku kumbe bosi wa peace alikua mshkaji wake jengua da ilikua noma sanaPeace alikua mchepuko wake nayeye alishafariki kitambo, tabia ndo alikua mtoto ake