Vampiree
JF-Expert Member
- Jun 29, 2020
- 529
- 1,328
Lavalava amekulia sana kwenye Dini.....
na mziki Unaushetani .
kinachomfanya Lavalava Ashindwe kusogea mbele ni msanii ambae Ajitumi wala ana Juhudi zozote....
Diamond Anamuangaikia sana Dogo alimwambia aende GYM kutengeneza mwili ili awe na muonekano wa Kisanii.
mimi naweza kusema Dogo ni Nyota tu ndio ana, na Juhudi Za mziki ana .
Ila Kunakitu kimoja ambacho Natka nikujuze nikuwa pale WCB Wanatabia ya Kupena nyimbo wao kwa wao au Kuandikiana nyimbo, Wenda ata kuna Nyimbo Diamond Alisha Andikiwa na Lavalava au Rayvanny .
Nyimbo ya Zuchu na ***** Hadija kopa ile nyimbo imeandikwa na Mbosso ndio Utaratibu wao.
Dogo nyota ndio ana na Juhudi .
alfu kingine Wabongo wanapenda umbea sana kufatilia maisha ya wasanii Dogo ana kiki ana Maisha ya kimzik ambayo wabongo watamfatilia .
Na mziki wa bongo bila kiki Autafika popote . Juzi kunavideo Zilivuja alikuwa anapigana mabusu na Luludiva Aliongelewa sana mtandaoni na Hivyo ndivyo Angetakiwa Atembee za kiki kama izo .
Mpka sasaiv Kiki ndio Zinamueka Diamond kweny Map.
Na Msanii yoyote ambae anatka Kufika mbali kimziki Aige Life style ya kimzi ya Diamond Utafika mbali mfano mzuri Ni Harminize anamuiga kila kitu Diamond.
na mziki Unaushetani .
kinachomfanya Lavalava Ashindwe kusogea mbele ni msanii ambae Ajitumi wala ana Juhudi zozote....
Diamond Anamuangaikia sana Dogo alimwambia aende GYM kutengeneza mwili ili awe na muonekano wa Kisanii.
mimi naweza kusema Dogo ni Nyota tu ndio ana, na Juhudi Za mziki ana .
Ila Kunakitu kimoja ambacho Natka nikujuze nikuwa pale WCB Wanatabia ya Kupena nyimbo wao kwa wao au Kuandikiana nyimbo, Wenda ata kuna Nyimbo Diamond Alisha Andikiwa na Lavalava au Rayvanny .
Nyimbo ya Zuchu na ***** Hadija kopa ile nyimbo imeandikwa na Mbosso ndio Utaratibu wao.
Dogo nyota ndio ana na Juhudi .
alfu kingine Wabongo wanapenda umbea sana kufatilia maisha ya wasanii Dogo ana kiki ana Maisha ya kimzik ambayo wabongo watamfatilia .
Na mziki wa bongo bila kiki Autafika popote . Juzi kunavideo Zilivuja alikuwa anapigana mabusu na Luludiva Aliongelewa sana mtandaoni na Hivyo ndivyo Angetakiwa Atembee za kiki kama izo .
Mpka sasaiv Kiki ndio Zinamueka Diamond kweny Map.
Na Msanii yoyote ambae anatka Kufika mbali kimziki Aige Life style ya kimzi ya Diamond Utafika mbali mfano mzuri Ni Harminize anamuiga kila kitu Diamond.