Naamini jize anaingia humu jf..... Watu tulingojea hili tukio kwa muda mrefu.........kuingia chama cha upinzani kwa siasa za tanzania inahitaji ujasiri mkubwa sana...... Ulichokifanya leo kimekamilisha heshima uliyoijenga kwa miaka mingi..... Big up joseph haule...