fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,165
- 3,655
Kaongea ukweli ukiachana na fiesta isiyoanza mpaka sasa.Duniani kujibrand ndo kila kituMkuu weka akiba ya maneno!
Mpaka pale utakapoona hiyo wasafi festival itawalipa hao wasanii pesa ndefu!!
Kaongea ukweli ukiachana na fiesta isiyoanza mpaka sasa.Duniani kujibrand ndo kila kituMkuu weka akiba ya maneno!
Mpaka pale utakapoona hiyo wasafi festival itawalipa hao wasanii pesa ndefu!!
Niliiona ya Iringa na Dar mwaka juzi.Mkuu weka akiba ya maneno!
Mpaka pale utakapoona hiyo wasafi festival itawalipa hao wasanii pesa ndefu!!
Kanumba!Christina shusho
lets assume wasanii watajaa CMG ila kumbuka kuna wasanii wakubwa pia wataenda WCB na kwa hali ilivo sasa watu watajaa kwa WCB n CMG watazid kudharaulikaNi kweli kuwa social network ina nguvyu kuliko radio na tv ila tazama pia ni nani ana sauti kwa wasanii kati ya WCB NA CMG. Hivi kuna msanii yupo tayari kuzinguana na CMG kwa kutegemea msaada wa WCB? Okay labda ikatokea siku kukawa na viwanja viwili huku WCB wanapiga show halafu kule CMG wanapiga show, wasanii watamiminika upande gani?
Yule mchezaji Coastal Union.
Konde man ao boy siyo girlMsanii bora kabisa wa mwaka 2018 east africa, peke yake anaweza kuibeba show yoyote kwa sasa.
Vizuri basi hakuna msanii ataenda kulipwa kidogo fiesta labda upcoming artistsNiliiona ya Iringa na Dar mwaka juzi.
Wewe ni mmoja wa wahusika wa Fiesta?Vizuri basi hakuna msanii ataenda kulipwa kidogo fiesta labda upcoming artists
Wewe ni mmoja wa wahusika wa Fiesta?
Kwakweli uoga wa wasanii umepungua, Diamond alisema mwanzoni wasanii walikuwa wanaogopa hata kufanya jingle ya WASAFI TV, ila kwa sasa wanajipeleka wenyewe kuomba interview na kutambulisha wimbo. CMG haiwezi kufa leo wala kesho but ukweli ni kwamba ule utabe wao na uMungu mtu umepungua kwa kiasi kikubwa kutokana na kusimama WCB na uwepo wa social medias. Mgogoro wa hizi pande mbili unaathari kubwa zaidi kwa CMG kuliko WCB, tumeona wasanii wote wa WCB (excluding Mavoko na Queen Darleen) wameweza kufanya vizuri sana mwakahuu kiasi kwamba wameweza kudominate kwenye social medias hadi mtaani. Mimi ni muhudhuriaji mzuri sana wa harusi na Club, huko kote nyimbo za WCB zinachukua nafasi kubwa sana. Yaani unaweza fikiri Tanzania ina wasanii kutoka WCB tu. Huwa najaribu kupitia trendings za nchi kama Kenya, utakuta zimejaa nyimbo/habari za WCB, ni nadra kukuta za msanii mwingine kutoka bongo. Jamaa wametengeneza brand kubwa, wataendelea kuwapa tabu sana CMG