music mimi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 441
- 758
Fiesta ndio tayari imeshatangazwa, na mwaka huu haitakuwa tena na msanii wa nje.
Ukiangalia trend ya mwaka mzima.
Unatabiri msanii gani atakuwa kivutio kwenye fiesta ya mwaka huu?
Mimi binafsi naona Maua Sama atafanya vizuri sababu ya wimbo wake mpya iokote.
Ukiangalia trend ya mwaka mzima.
Unatabiri msanii gani atakuwa kivutio kwenye fiesta ya mwaka huu?
Mimi binafsi naona Maua Sama atafanya vizuri sababu ya wimbo wake mpya iokote.