Msanii Bongo achukua Masters Degree kwa miezi saba!

Msanii Bongo achukua Masters Degree kwa miezi saba!

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,471
Reaction score
754
Hivi naJF naomba kuuliza kweli hivi kuna masters inyotolewa kwa 7 months kwa mtu aliyesoma Advance Diploma au First Degree? Kuna msanii mmoja maarufu hapa bongo kaenda kiwanja kusoma masters na sasa kamaliza within 7 months?

I doubt
kwa mtaji huu ile mamlaka ya kusimamia viwango vya elimu ya juu yaani TCU wana changamoto kubwa!
 
Mbona hiyo ni ya muda mrefu kaka? kuna za kuanzia, experience, wiki moja 2, mwezi , miezi3 mpaka utakako wewe! I mean kuna masters mpaka miaka 3! dunia hii hii.

Utaumiza kichwa kaka wako wengi hao, na to be honest dunia ndiyo inawaangalia hao.

we need to have standard ya elimu yetu, ya kuwa nani anatakiwa afanye nini na anatakiwa kuwa na uwezo gani.

Pili kuwasajili wasomi wote regardless ya professionals zao na kuweka sheria , ili mtu ajiite ana masters n.k lazima asajiliwe na bodi fulani!! akikamatwa basi ni kosa la jinai!

Lakini, je wale wasomi wa kweli tunawatumia? kwa nini hawatumiwi, ni akina nani tunawathamini?.Taifa lisilothamini wasomi na products zake ndiyo linafikia hapa.

Problem is far than kuwatafuta hawa individuals, si afadhali huyo celebrity?? wako usiowajua
 
Ukistaajabu ya musa kweli utayaona ya mafisadi, unashangaa hizo masters za wasanii wakati mawaziri kibao wanazo nyingine za wiki moja!
 
Jamaa yangu acha uongo wewe mbona unakuwa unaandika vitu ambavyo huna uhakika navyo. Jamaa mbona bado yupo shule bado. Nini kinakusukuma kusema kwamba kamaliza shule?
 
Msters kawaida miezi 7 hadi tisa siyo kitu cha ajabu tena ya uchumi kuna jamaa namjua aliichukulia Oxford school of business mwaka 1996 na ni mwalimu pale Arusha college of accounts Njiro. Chuo chini ya wizara ya fedha na ni jiniasi.
 
eeeh hongera zake la ni mie nitasoma master kama ipo ya 3 month will go zea
 
Kawaida nijuavyo mimi masters ni minimum 12months na kuendelea sasa hii miezi saba duh and ndio vyuo vya waNIGERIA???
 
U wrong my brother....and you need to get your facts straight....angalia course anayochukua mtu na kama ni kwa coursework ama la, kisha utuletee habari hapa... kuna Masterz zipo in total muda wa kukaa darasani ni less than 7 months...ama mlitaka awe mwanafunzi anavaa na uniform ndo mjue bado yupo chuoni? Ama unataka kuniambia na graduation yake na cheti vipo tayari na kashakabithiwa?
 
Kuna course ambazo zipo juu ya degree na chini ya Masters zinaitwa Post graduate diploma na huwa ni miezi 6 mpaka mwaka.Hizi huwa wanasoma hasa wale ambao hawana sifa ya kwenda Masters moja kwa moja na akimaliza ndio anasoma tena masters.
 
Zipo kozi za fast track na wala sio za kubabaisha. Kama we ni kichwa panzi umekurupuka, kwenye usaili tu utachemsha.
 
Tuache ujinga 7 months

Viongozi waige mfano wa Magufuli, huwa napishana naye hapa UDSM, nilipouuliza kulikoni, nikaambiwa anasoma PhD.

Jamaa anaingia class kama kawa,hana makuu, hafu utavunja mbavu jinsi anavyouliza maswali na ile lafuzi yake.

Big up Magufuli,PhD holder.
 
Kawaida nijuavyo mimi masters ni minimum 12months na kuendelea sasa hii miezi saba duh and ndio vyuo vya waNIGERIA???


unaruka maswali sababu unajua unasema uongo?
una uhakika na ulichoandika hapa kuwa mzee wa bado nipo nipo kamaliza kufanya hiyo masters?ama suala limebadilika sasa kuwa masters ni mwaka mmoja?
hata hivyo hujui kitu kuhusu elimu inaonekana.
kweli miafrika ndivyo tulivyo
 
Tuache ujinga 7 months

Viongozi waige mfano wa Magufuli, huwa napishana naye hapa UDSM, nilipouuliza kulikoni, nikaambiwa anasoma PhD.

Jamaa anaingia class kama kawa,hana makuu, hafu utavunja mbavu jinsi anavyouliza maswali na ile lafuzi yake.

Big up Magufuli,PhD holder.

Mkuu ni kweli Magufuli anasoma UD ana vituko balaa. Mimi nimeshamkuta akipiga stori na madenti, anavituko sana. Hutaamini ni yeye waliyemtelekeza na samaki wake
 
Back
Top Bottom