Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 754
Hivi naJF naomba kuuliza kweli hivi kuna masters inyotolewa kwa 7 months kwa mtu aliyesoma Advance Diploma au First Degree? Kuna msanii mmoja maarufu hapa bongo kaenda kiwanja kusoma masters na sasa kamaliza within 7 months?
I doubt kwa mtaji huu ile mamlaka ya kusimamia viwango vya elimu ya juu yaani TCU wana changamoto kubwa!
I doubt kwa mtaji huu ile mamlaka ya kusimamia viwango vya elimu ya juu yaani TCU wana changamoto kubwa!