mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 6,626
- 4,936
Steve C Kanumba (R.I.P) ni jina lake halisi ambalo alivuma nalo, ni wasanii wachache sana wanaoweza kutokea kwa mtindo huu, hata yule aliyekuwa naye usiku wa mauti yake anajulikana kwa jina lisilo lake. Inakuwaje wengine mpaka watumie majina mengine ndiyo wanatoka?
Kwa hiyo, ulitaka nini?