George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,018
- 4,909
[HASHTAG]#wanakubalisemakimoyomoyo[/HASHTAG]Wooooow! Hii tena mnasemaje?Wasanii wote wakubwa Afrika chaliiiii.
Hongera King Ali Kiba,Happy birthday
Hatununui views, hatununui tuzo.
[HASHTAG]#TutaheshimianaTu[/HASHTAG]
cc chige Chinga One The bold
:Majigambo muhimuWewe unatoa hongera na majigambo juu, lete reference ya hiyo habari!
Ushabiki tu umekujaa, na mnajifurahisha tu kwa tuzo hewa.:Majigambo muhimu
:Namuamini mtoa mada
Una jingine?
Hahaha umefunga kaziUingereza hata tuzo ya kukamua maziwa haiwezi kuwa sawa na Tuzo za bongo
Si unajuaga vile nakupenda eeeh?natangaza kuwa team kiba sasa ........
Utakuwa umetumwa na domokaya si bureItakuwa tuzo ya temeke hyo.
NAHISI HUYU KIBA YUPO VIZURI SANA NDO MAANA WANAHANGAIKA KUMSHUSHA GOOOOOOOOOOO KIBASi unajuaga vile nakupenda eeeh?
Kama za naija tu unaweza kuta ni za wilaya tuInategenea uingereza sehem gani yaweza kuwa ni tuzo kama Insta award za bongo sema tu zipo uingereza
PovuYani kiba tuzo zote hadi akate rufaa, kwahiyo tokea 28 October walishindwa nn kutangaza ameshinda tuzo ila bado haijafika nchini? nafurahi kuona yuko list moja na miamba ya afrika kama mond bin laden na wengine!
Hehehhehe utaelewaje na uko busy kununua viewspoor kibakuli hata sielewi kilichoandikwa na sababu zake.
Hapana. Kanunua viewsNa hii amekata rufaa?