Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,781
- 24,213
Msanii wa muziki Tanzania, Harmonize ameshinda tuzo tatu (3) Nchini Marekani usiku wa kuamkia juzi. Msanii huyo ameshinda tuzo hizo tatu za (AEUSA) katika vipengele vifuatavyo:
#monmedia
#MonEnews
NB Kwanini jamaa kapiga hat trick ya tuzo za kimataifa pale mjini USA...lkni media .... social network haziongelei hili
- Artist of the Year 2023
- Best Music Video (Single Again)
- King of the East and Bongo, Afro Bongo Flavour
#monmedia
#MonEnews
NB Kwanini jamaa kapiga hat trick ya tuzo za kimataifa pale mjini USA...lkni media .... social network haziongelei hili