Bado kalio lakoKwani na Harmonize yeye anafungua lini radio yake?
Au hela zote anamalizia kwenye makalio makubwa tu ya wadada wa mjini
Daladala nyingi hufunga mziki ati ambao frequency ni 108Umeongea ponti kubwa sana japo imepitwa kimia kimia. Masafa ya 92.---- ni mtihani. Radio nyingi za kizamani hasa kwenye daladala masafa yanaanzia 70-90. So mpaka hapo mimi kwenye gari hiyo Radio sitoipata. Daladala ambao ndio pia hukuza/promoti hizi redio hawatoweza kuipata. To some extent masafa yatawavuta shati hawa jamaaa.
All in all HONGERA SANA KWA KIJANA MWENZETU KING KIBA
Kaka mi sio shabiki wa mtu, nafurahia muziki pekee.Achana na ukatibu kwanza, unakuaje shabiki wa msanii aisee
Ila ume muona 2-0 hapo juu😆🤣, ana hasira huyo🤣Mwingine akifanya move ni offside mwngn ni goal🤣🤣livekuku wameyakanyaga
Namaanisha dada etu ume muona, nilipo kutag😆😂Zitarudi kipindi cha 3 😂🤣😁😁
Yupi uyo 😂🤣😁😁Namaanisha dada etu ume muona, nilipo kutag😆😂
Vincenzo Jr huyu hapa😂🤣, 2-0Unanipotezea muda dogo. Kaza tako hilo dogo na andika kama mwanaume. Byeeeeeee
Of courseKusaga effects
Just ignore him anaonekana kanyimwa mboli na mukubwa yakee 🤣😂😁😁Vincenzo Jr huyu hapa😂🤣, 2-0
Kitenge hanaga roho mbaya ukimwoneshe pesa mezani, kuvua utu wake kwake jambo dogo sana.Kwamba ukifika bei anakupa kama watumia?
Chuki hiziNifah alitudanganya ni Kings Fm, kiherehere cha kupost haraka haraka ili aonekane ni mbea mkubwa, haha
FactsLabda sababu Kings FM ipo Iringa. Ila ingekuwa ni mimi Kiba na jambo langu (achana na la Kusaga) ningeongea na hiyo mmiliki wa hiyo redio ya Iringa abadili jina.
Kings FM ingembeba sana Kiba. Hiyo Crown FM haikaikai sana kimatamshi, labda vile sijaizoea
Staa wa muziki wa Bongo Fleva @officialalikiba amezindua radio yake mpya inayoitwa CROWN FM ambayo inapatikana 92.1 Fm.
Alikiba ameeleza sababu za kuzindua Radio kuwa ni njia pekee iliyoinua career yake na watu kumfahamu kupitia Radio.
Baada ya kuwa msanii kwa takribani miaka 20 sasa anakuwa miongoni mwa Wasanii na watu wanaomiliki Radio.
Huyo ni sura mbaya, 😄, ume msahau ??Just ignore him anaonekana kanyimwa mboli na mukubwa yakee 🤣😂😁😁