Msanii Ali Kiba azindua Redio yake, inaitwa Crown FM

Hongera sana kwake! Lkn Mimi naona hii tabia ya wasanii kuigana igana Kila kitu anachoqnzisha mwenzio ni ufinyu wa mawazo na tatizo hili lipo kwa Watanzania wengi sana.

Wasione mtu kafungua kibiashara flani mtaani..! Kesho utakuta Kila mtu mtaani anafanya biashara hiyo hiyo mpaka unajiuliza inamaana hawaoni frusa zingine???

Sio lazima wote tulime! Mwenzio akilima wewe wewe anzisha kampuni ya kununua mazao!

Mwenzio akifungua salon ya kiume wewe fungua ya kike that thing!!!
Haya mambo ya kuigana igana Mimi naonaga kama ni ufinyu wa mawazo ama kukosa jicho la kuchungulia frusa zingine.
Bila kuigana biashara haziendi
 
Back
Top Bottom