Hallow kama una ndugu ama jamaa anayetaka kufanya kazi ya kusambaza vitabu kwa muda wa wiki moja kwa malipo mazuri mjulishe tuwasiliane kwa 0712 066 064 au 0753 12 54 74. Hakuna elimu yoyote inayohitajika. Muhimu ajue maeneo mbalimbali ya jiji la dar es salaam atakako elekezwa kupeleka vitabu hivyo.