Mideko
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 36,491
- 196,533
Baada ya Rose Muhando kupotea kwa muda mrefu kwenye ulimwengu wa muziki wa injili, aliyekuwa meneja wake, Alex Msama amefunguka kumrudisha kwenye chati kama zamani kwani hivi sasa amebadilika.
Msama alisema alimuacha Rose kwa kuwa alikuwa akiwatapeli watumishi wa Mungu fedha alizokuwa akipewa kwa ajili ya shoo na kesi kibao kujaa polisi, lakini kwa asilimia kubwa hivi sasa ame-‘change’ hivyo atamrudisha soon.
Chanzo :Gpl
Msama alisema alimuacha Rose kwa kuwa alikuwa akiwatapeli watumishi wa Mungu fedha alizokuwa akipewa kwa ajili ya shoo na kesi kibao kujaa polisi, lakini kwa asilimia kubwa hivi sasa ame-‘change’ hivyo atamrudisha soon.
Chanzo :Gpl