Ujinga mtupu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 851
- 1,887
.
Hivi imekuaje? Huyu jamaa anajiita Director Jowzeey kumharibia Malkia wa Muziki wa Injili Afrika Mashariki Rose Muhando na kumtolea video mbaya yenye giza na isiyo na mvuto.
Kuna sauti ya Rose Mhando inasambaa mtandaoni ambayo inaonyesha msanii wa nyimbo huyo akilalamika sana kwa uchungu akieleza jinsi gani walikesha usiku na mchana kuandaa video hiyo, na Director alilipwa hela yote lakini mwisho wa siku aliishia kutoa video mbaya sana ambapo kumeonekana kama kuna njama ambazo Director amefanya makusudi kwa msanii huyo.
Jowzeey hajaongea chochote mpaka sasa kuhusiana na tuhuma hizo.
Hivi imekuaje? Huyu jamaa anajiita Director Jowzeey kumharibia Malkia wa Muziki wa Injili Afrika Mashariki Rose Muhando na kumtolea video mbaya yenye giza na isiyo na mvuto.
Kuna sauti ya Rose Mhando inasambaa mtandaoni ambayo inaonyesha msanii wa nyimbo huyo akilalamika sana kwa uchungu akieleza jinsi gani walikesha usiku na mchana kuandaa video hiyo, na Director alilipwa hela yote lakini mwisho wa siku aliishia kutoa video mbaya sana ambapo kumeonekana kama kuna njama ambazo Director amefanya makusudi kwa msanii huyo.
Jowzeey hajaongea chochote mpaka sasa kuhusiana na tuhuma hizo.