laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,732
tatizo CUF ya Maalim Seif na CHADEMA wakiungana shida itakuja kwenye kugombea vyeo..huku Mbowe..huku Seif..huku Lowasa....hawa mafahali watatu hawawezi kukaa zizi mojaCUF inatakiwa kuchukua maamuzi magumu ili kuondokana na Lipumba na CCM iliyo ndani ya CUF Lipumba.
Chama pekee ambacho kimedhihirisha kuwa na msimamo thabiti, kilichojengeka kitaasisi, ambacho wakati wote kimeshinda hila mbalimbali za mamluki, na chenye viongozi wasioingilika kwa pesa au tamaa ya cheo ni CHADEMA. Na ukweli huo ndio unaoifanya CHADEMA kuchukiwa na CCM na serikali yake kuliko chama chochote cha siasa.
CUF halisi wahamie CHADEMA, uchaguzi uitishwe upya kwenye majimbo yenye wabunge wa CUF, wagombea wawe wabunge wa CUF wa sasa. Baada ya uchaguzi, CHADEMA na CUF wafanye mabadiliko ya jina la chama ili kuakisi mwunganiko wa CUF na CHADEMA.
Sent using Jamii Forums mobile app