Msajili wa vyama vya siasa nchini apinga CUF kufukuza wabunge wawili

Donald Trump: “There Is No Shortcut To Maturity, Africa Should Be recolonized
Speaking yesterday in Nebraska, Trump said that Africans are slaves living like slaves in their own land yet they claim they are independent.
Trump was responding to a question by a South African journalist on whether he thinks African leaders were right to seek mass withdrawal from the Hague based International Criminal Court.
“It is shameful for African leaders to seek exit from ICC. In my view, these leaders want to have all the freedom to oppress their poor people without anyone asking them a question. I think there is no shortcut to maturity and in my view, Africa should be recolonized because Africans are still under slavery. Look at how those African leaders change constitutions in their favour so that they can be life presidents. They are all greedy and do not care about the common people” Said Trump
“When I saw them gang up against ICC yet they can’t even find an amicable solution for the ongoing quandary in Burundi, I thought to myself these people lack discipline and humane heart. They can’t lead by example. The only thing they are interested in is accumulating wealth from poor tax payers. Before they think of exiting from ICC, they should first restore peace in Burundi and other war-torn countries rather than gathering like hyenas with the aim of finishing the poor people” Added Trump.
���� truth hurts

Forwarded as received
Trump's account on African leaders is very true although piercingly painful. The aim of many of our leaders is accumulating wealth and fame.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ninavyooma wapinzani wanatumia siasa za kiustaarabu sana na kiungwana, manake hawa watawala wanavyotumia ubabe na kuwaonea, naona wao wapo kimya tu, laiti wangekuwa nao wanatumia ile ya jino kwa jino sijui hii nchi ingekuwaje,

nitakuunga mkono pale utakapoacha chuki, ubaguzi na visasi
 
hivi lipumba huwa anaenda zanzibar

nitakuunga mkono pale utakapoacha chuki, ubaguzi na visasi
 
Dawa nzuri ambayo anatakiwa kumfanyia lipumba huyu maalum akivunje cuf visiwani awashauri wafuasi wake wrote wahamie chadema waivunje cut visiwani waone kama lipumba atakanyaga Pemba hataijenga itakuwa cuf bara visiwani haipo kwa hiyo itakuwa rahisi kuifutia usajili na lipumba ataenda ccm
umenena mkuu, sasa hivi cuf ya seif kufanya hivyo ni mapema sana, nadhani ndio kitakachotokea 2020, na cuf itarudi kule kule kukosa viti takriban vyote, kwani wanayofanya akina lipumba tunayaona na tumekaa kimya tu tunasubiri muda

nitakuunga mkono pale utakapoacha chuki, ubaguzi na visasi
 
Barua haimtambui maalim kama katibu mkuu alafu hiyo hiyo barua inamtambua maalim kama katibu mkuu.

Tz bado hatujabarikiwa
ndio yale ya mdee kusema kuna watu wana phd za hovyo

nitakuunga mkono pale utakapoacha chuki, ubaguzi na visasi
 
Maarim ajiandae kupokea barua ya kufutwa uanachama.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Angeawafuta uwanachama wale wabunge wa kuchaguliwa kwanza waliofunguwa ofisi yao mpya. Hana uwezo huo kwa sababu anajuwa impact yake itakuwa ni kubwa mno kwa maslahi ya nchi. Anachofanya Lipumba na wanaomtuma ni kuzorotesha CUF na sio kuiuwa kwa sasa hivi. Na kama kweli walitaka kuiuwa angefukuza wabunge wote ambao hawamuungi mkono, ruzuku atazitowa wapi na ndizo anazolilia?
 
umenena mkuu, sasa hivi cuf ya seif kufanya hivyo ni mapema sana, nadhani ndio kitakachotokea 2020, na cuf itarudi kule kule kukosa viti takriban vyote, kwani wanayofanya akina lipumba tunayaona na tumekaa kimya tu tunasubiri muda

nitakuunga mkono pale utakapoacha chuki, ubaguzi na visasi
Cuf ya Lipumba itabebwa na ccm kwenye uchaguzi wa 2020 lakini kwa hakika watapoteza viti vingi na mpangi wa ccm utakuwa umefanikiwa!
 
Cuf ya Lipumba itabebwa na ccm kwenye uchaguzi wa 2020 lakini kwa hakika watapoteza viti vingi na mpangi wa ccm utakuwa umefanikiwa!
ndio hilo mkuu, pa1 na kubebwa lakini waamuzi ni sisi wananchi tunaoona hizi rafu, manake sielewi siku akienda pemba itakuwaje, niliwahi kusikia akienda unguja gari za watawala zinaenda mchukua mlangoni mwa ndege na kutoka nje na vile vile akirudi gari linaenda mpaka mlangoni mwa ndege, niliwahi ona uzi humu ndani shuhuda 1 akisema aliyeona, sasa hapo kuna nini, kwanini watawala ndio waende wampokee tena kwa kufanya siri wakati wananchi wanaona, naomba hizo njama wazijaribu na kwa chadema
 
Msajili anamtambua Lipumba kama mwenyekiti halali wa kafu, mwenyekiti halali Lipumba anamtambua Maalim Seif kama katibu halali na ndio maana anamwambia aende ofisini Buguruni akampangie kazi alafu Msajili huyo huyo hamtambui Maalim Seif kama Katibu halali wa Kafu, hivi ile topiki ya hesabu za lojiki form five inaitwaje tena? Sikumbuki kama nilifaulu au nilikuwa sielewi hesabu enzi zile kabisa[/QUOTconjunctive
 
Magdalena Sakaya, Maftaha Nachuma na Lipumba hawa wote wamenunuliwa na wanaotumiwa na CCM. Maalimu Seif asitegemee kutendewa haki. Huyu Mutungi ni kama Lipumba dhambi zao zitawatesa huko mbele.
 
JF Kwenu,

Msajili wa vyama vya siasa nchini jaji Francis Mutungi amepinga maamuzi ya Chama cha Wananchi (CUF) kuwafukuza uanachama wabunge wawili wa chama hicho, Magdalena Sakaya na Maftaha Nachuma na kusema Maalim Self hatambuliki kama katibu mkuu wa CUF.

Msajili wa Vyama vya Siasa amesema hayo leo wakati akijibu barua iliyowasilishwa ofisini kwake na katibu mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad ikimtaka msajili huyo kuwavua nafasi ya ubunge viongozi hao.

Wazo; Nadhani Maalim Self anamtega jaji Mutungi.

=======

View attachment 556612
View attachment 556613
Nadhani jaji mtungi hajitambui kwa sababu barua kaandika kwenda kwa katibu mkuu wakati huo huo katika maelezo yake eti hamtambui katibu mkuu, kichefuchefu kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lipumba anamtambua Maalimu lakini msajili hamtambui Maalimu? huyu naye kweli alikuwa Jaji kabisa na alikuwa anatunzwa kama Jaji?
Suala sio kutambulika, suala ni anayetekeleza majukumu ya katibu mkuu. Msajili anamtambua Seif kama ktb mkuu Bali hatambui kama amesharudia katika majukumu yake yaliyokaimishwa kwa Sakaya. Over
 
A
Nadhani jaji mtungi hajitambui kwa sababu barua kaandika kwenda kwa katibu mkuu wakati huo huo katika maelezo yake eti hamtambui katibu mkuu, kichefuchefu kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Umechemka. Anamtambua vizuri kama ktb mkuu Ila nje ya ofisi maana majukumu alikaimishwa Sakaya. So mpaka ukaimu utenguliwa ndipo at a exercise duties. May be yupo likizo ama mgonjwa;mambo ambayo hayamfanyi kupoteza ukatibu mkuu wake.
 
WASOMI NA WAELEWA TU WATAUNGANA NAMI.
Mutungi yuko sahihi. Anamtambua Seif kama ktb mkuu, Ila ktb mkuu aliye nje was utekelezaji wa majukumu. Mfano mtu akiwa mgonjwa, safarini au masomoni kisha akakabidhi au kukaimisha majukumu. Sakaya alikaimishwa tu, na hii haimfanyi Seif kupoteza cheo chake bali hatoweza kutekeleza majukumu yake mpaka pale barua iliyomkaimisha Sakaya itakapotenguliwa kwa barua ya kuyarudisha majukumu kwa Seif itakapowasilishwa na mwenyekiti maana barua yoyote ya Seif kwa sasa kabla ya kutengua ile iliyomksimidha sakaya haina uzito
 
WASOMI NA WAELEWA TU WATAUNGANA NAMI.
Mutungi yuko sahihi. Anamtambua Seif kama ktb mkuu, Ila ktb mkuu aliye nje was utekelezaji wa majukumu. Mfano mtu akiwa mgonjwa, safarini au masomoni kisha akakabidhi au kukaimisha majukumu. Sakaya alikaimishwa tu, na hii haimfanyi Seif kupoteza cheo chake bali hatoweza kutekeleza majukumu yake mpaka pale barua iliyomkaimisha Sakaya itakapotenguliwa kwa barua ya kuyarudisha majukumu kwa Seif itakapowasilishwa na mwenyekiti maana barua yoyote ya Seif kwa sasa kabla ya kutengua ile iliyomksimidha sakaya haina uzito
Uko sahihi, Maalim kwa sasa si chochote wala lolote, sema wanaogopa kumfukuza. For the time being he is a toothless dog...!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom