Msajili Hazina: Hakuna mtu aliyekuwa akipokea mshahara milioni 40

Pia mafuru kasema ukosefu wa hela ni kwa sababu ya matumizi makubwa ya pesa mfano kununua zile ndege mbili aina ya bombardier zimepelekea hela haionekani kabisa mtaani.

Namshuku sana huyu jamaa kwa kuwa mkweli Kuhusu kutokuonekana kwa pesa.
Ni kweli kabisa. Hela iliyotakiwa kuzunguka Tz imeenda kwenye mzunguko wa uchumi wa Canada tulikonunua ndege. Ni hela nyingi sana mjue kuondoka kwa mkupuo kwa kauchumi ka Tz
 
Huyu Mafuru kwanza hiyo kazi alipewa na Kikwete kama fadhila wala hana qualifications za kuwa TR; Magufuli ana kila sababu ya kuhakikisha kuwa anachagua TR mwenye viwango!! The guy is an NBC reject who does not qualify to fill that slot!!

Bado haiondoi ukweli alio usema hadharani...
 
Hayo yamesemwa na msajili wa hazina ndugu Lawrence Mafuru akizungumza kupitia 360 ya Clouds Tv.

Akijibu swali lililoulizwa na mwandishi kuwa ni kwa kiasi gani punguzo la mishahara toka milioni 40 hadi 15 bwana Mafuru amekana vikali uwepo wa waliokua wanapokea zaidi ya milioni 25.
Kwani makampuni/mashirika ya serikali kama NHC, NIC nk mishahara ya watumishi yao inalipwa na hazina??? Naamini kwamba Mh Magufuli yuko sahihi na msajili wa hazina naye yuko sahihi kwa maana kwamba mishahara ya serikali inayolipwa na hazina hakuna alikuwa akizidi 25m.
 
Kuna totauti ya mishahara iliyoko TR ambaye anaidhinisha yeye TR. Kuna mishahara ya taasisi nyingine TR hausiki bali ilikuwa ni Board approval tu. Ninaamini alikuwa anasemea ya mandate yake.
 
Lakini si alishahaidi ktk radio kuwa akirudi toka Chato angeonyesha salary slip ya mshahara wake, kwani amesharudi Dar? kama amerudi si mumkumbushe jamani. Kama hajarudi basi tumsubiri. Yeye ni mtu wa Mungu na nimsema kweli., mtetezi wa maskini
Eti mtu wa Mungu na mtetezi wa wanyonge kwa kuapia haki ya Mungu kila anapo ongea jukwaani,aende hukoo.
 
Hivi "yule bwana aliposema kuna watu wanaoshi kama malaika mlimakiza"

Mi binafsi maneno yake siyaamini
 
Wanakataana kauli zao wenyewe kwa wenyewe tena.. hii kauli ya watu kukunja mil40 kwa mwezi si aliitamka mtukufu mwenyewe jamani au kabda me sikumbuki vizuri wadau
 
Au anaongelea ambao wako kwenye mfumo wa TGS? Ila kwa taasisi zenye salary scale zao tofauti na TGS, inawezekana ndiko walikokuwepo...
 
Huyu Mafuru kwanza hiyo kazi alipewa na Kikwete kama fadhila wala hana qualifications za kuwa TR; Magufuli ana kila sababu ya kuhakikisha kuwa anachagua TR mwenye viwango!! The guy is an NBC reject who does not qualify to fill that slot!!
Weka CV yake hapa tuone acha blabla. Na usisahau na yakwako ili Mkuu akufikirie kujaza nafac ya Mafuru.
 
Tanzania haijawai kuwa na Raisi muongo kama huyu wa sasa. Mimi nilichukia alipowasingizia wapinzani et ndyo waliokwamisha mipango ya ujenzi wa viwanda. Hayo aliyazungumza kule mwanza viwanja vya furahisha. Alikuwa akijaribu kuwadanganya wasukuma wenzake.

Tena aliondoka amewapiga kabobo machinga wa mwanza. Leo hii kuna amsha amsha ya kuwatimua hao machinga mjini.
Si wapinzani wakina Sumaye Wakiwa Chama cha mapinduzi CCM akiwa na Genge Lake kama Lowassa, Mzee kingunge huko UKAWA, Bwana ina maana ulikuwa hujui alikuwa anamsema nani?
 
Back
Top Bottom