The bump
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,136
- 1,952
- Thread starter
- #21
vyumba viwili nikiwa sina vitu vya kuweka kwenye chumba chapili nahisi itakua ni kupoteza pesa mkuu,gharama ya kuongeza chumba cha pili kwanini nisiongeze kidogo ikamlipa msaidizi?Mkuu fanya upange hata vyumba viwili kwanza ndo utafute msaidizi
Mkuu Chumba kimoja kikiwa katika hali ya usafi wakati wote ni kizuri sana,kinapendeza na kuvutia,shida ya chumba kimoja n kukosa mtu wa kukihudumia matokeo yake kinageuka stooo.
Matumizi makubwa ya chumba kwangu n kulala TU sijawahi shnda nyumbani tangu nianze kupanga,Unaweza pata picha namna naishi mkuu.
Kilichopelekea kutafuta msaidizi ni sasa hivi nimeanza kupishana na MENDE ndani you can imagine mende anatoka wapi gheto, i hate this.