Msaidizi wa Kufua/ kupika na Kufanya usafi Kwangu

Kigezo no.1 uwe na makazi yake sijali anaishi kwake au kwao muhimu asiwe tu Muwindaji

Mkuu MKE mimi hapana,unahisi kwa maelezo hayo nakosa vile vdada vya hit n run halafu nikakigeuza

mfanyakazi indirect way? yani nakinunulia smart phone ya 250k kila siku nakiambia kije kifanye kazi japo sikiiti kwa kukiambia kinakuja kufanya nini,then kinanitimizia mahtaji yangu yote?

Sihitaji wahivyo mkuu na siwezi hata kwa bahati mbaya date na mdada ataekuwa msaidizi wangu,NEVER. Nina sifa na vigezo vingi sana vya hadi mwanamke kuingia ndani kwangu Achilia mbali kupanda kitanda ninacholala.

Mimi ni moja ya wanaume wasioamini ktk mapenzi hasa kuoa au kuwa na mke,sipo kundi hilo na sihitaji i better find someone muda utapofika anizalie mtoto KWISHA habari,nitalea mwanangu . Sihitaji MKE au Mpenzi. STAKI.

i just love my self KWISHA.
Hujui kuwa kuzini ni dhambi?? Kwanini usioe ndugu?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Habari kaka hope u mzima binafc napatikana tegeta na ninadadaangu aweza fanya kazi hiyo kama haujapata naomba tuwasiliane tafazari 0764161048
 
Labda


Unahisi hadi umri nilio nao ntakua bikra wa mapenzi?



Mimi na wewe nani Mjuaji? Maana unakimbilia kudandia treni kwa mbele,Unaijua background yangu ya mapenzi?


I feel sorry for you Madam! Aliekwambia sina mtoto ni nani? mbona uko too much know we kadada?

Anaetafuta msaidizi siku zote unahisi hana mke au hana familia si eti? Sikia nikuelimishe we bibie,sio kila anaetafuta msaidizi hana Mke au Hana Familia.

Eti watanipunguzia majukumu,heeeeeeeeeeyyyyy mxiueeeeew! Acha ujuaji na kujudge maisha ya watu usiowajua A wala B...

Eti utaonja upande mwingine halafu nijute kuchelewa kuujua,huhuhu huhuhu aseeeee Where is this ID come from jemeniiiiii!

Nyie ndio wale mkiokota Burungutu la PESA mnawehuka maana hamjazoea hizo mambo,au upate kismati chochote unawehuka,u know why? cause u were not in such blessings before so unaona ni mamiracle tu...

Usijilinganishe na ushamba wako ukafkiri wote n washamba wa hayo mambo,mahaba mapenzi wengine tulianziaga Tangu tukiwa tumboni mwa mama zetu, Shubhaaaamit....

Hellouw!
😁😁😁 aisee 😁😁😁😁😁 we mzaramo?
 
Mimi ni kijananinaeishi peke yangu, Chumba ki 1 kisicho na makorokoro mengi ndani,ni Mfanyabiashara au mjasiriamali ninaetoka nyumbani asubuhi sana na kurudi usiku sana.

Kutokana na ratiba yangu kuwa ngumu nimejikuta sipiki nyumbani maana muda nakosa, kufua nakosa muda yani muda ninaopata kufanya kitu changu ni muda wa kwenda kuoga tu ila sina muda wa kufanya kazi nyingine yyte ile.

Nyumba yangu imekua kama stooo,nimechoka kula mitaani,nimechoka kula chipsi (kijana wa kiume) Afya yangu naiona n afya ya fast foods tu,yani kama ni kuku najifananisha na Broiler.

Natafuta msaidizi atakae weza nisaidia kazi Tajwa hapo Juu lakni awe ni wa kike Umri wowote ule,awe binti,awe mama awe Bibi sina tatizo na umri wake awe tu ananifanyia hizo kazi kwa uzuri.

KUPIKA

Atakua anakuja kwangu asubuhi ananipkia chakula cha Usiku (mchana sitokuwepo) chakula kulingana na siku husika nitamuomba anipkie nini,atanipkia kisha atanihifadhia kwenye mahotpots na vyakuhifadhi kwenye friji ataniwekea,nikirudi usiku kazi yangu kupasha na kula.

Mchana atajipikia mwenyewe chakula anachotaka kulingana na kwenye Friji kuna nini,ale ashibe kisha aendeleee na mambo yake mengine sio anipkie mimi huku yeye anakaa na njaa HAPANA,nahtaji msaidizi tutae ishi kama ndugu.

Vyombo nitakavyolia atavikuta asubuhi ila kama nitakua na nguvu vyombo nitakavyolia ntakua nasuuza mwenyewe na kuviweka kabatni.

KUFUA

Nguo ni changamoo sana kwangu eneo hili ndio limenifanya nitafute mtu hasa maalum maana nimeshafuliwa nguo na watoa huduma za ufuaji hawa unaowanunulia sabuni ila ufuaji wao HAPANA KWAKWELI,nahitaji mtu ataefua nguo zangu kwa ubora na kuzifanya zing'ae wakati wote na kunipangia kabatini.

Mimi kazi yangu iwe kuzpga pasi na kuvaa Tu.

USAFI

Usafi ni wakutandika kitanda incase siku nimekurupuka nikajisahau kutandika,kudeki nyumba kufuta vumbi kwa ufupi kufanya nyumba ionekane kweli ina mtu anae deal na usafi, Makochi kuyasafisha Carpet kuliosha wakati wote liwe safi, mengine nadhani mtu mzma anaelewa nini maana ya usafi.

MAHALI PAKUISHI

Nahitaji mtu anaeishi kwake,mwenye makazi maalum hizi kazi zote ni za kuja kufanya na ukimaliza unaondoka kwako/kwenu sihitaji mtu asie na makazi maana sina mahali pakulaza mtu naishi peke yangu na sihitaji mgeni nahitaji tu Msaidizi wa kunisaida kazi tajwa hapo Juu.

MSHAHARA

Mshahara wa huyu msaidizi nitamlipa kwa mwezi na si kwa SIKU,ambao kwa mwezi nitamlipa 210,000 kama jumla ya mshahara wake wa mwezi, hii 210k nimeigawanya kwa mafungu mawili.

Nauli : 60,000Tsh
Pocket Money : 150,000Tsh

Mwisho wa mwezi nitakua nampa 150,000 lakini kutokana na kila siku atakua anakuja na kurudi kwao/kwake nitakua namuachia mezani 2000Tsh hii buku mbili n kwa ajili ya nauli yake ya kwenda na kurudi huko anapoishi,kwa hyo kila siku nitakua nampa nauli TU. Kisha itapofika mwisho wa mwezi nitakua nampa 150,000 ambayo ndio Mshahara wake kwahyo jumla kuuu iafanya mshahara wake uwe 210,000/

Nauli kila siku nimeona nifanye hivyo ila uamuzi ni wa msaidizi akiamua nauli ajitafutie mwisho wa mwezi nimpe 210k yote ni sawa,akiona kila siku nimpe nauli yake kila siku pia sawa.

SWALI

Je utapata wapi ufunguo wakati naondoka mapema kwa maana nyingine mimi na wewe kuonana itakua mara chache sana je Funguo ya nyumba utaipata wapi? Yawezekana kuna mtu kajiuliza swali la namna hiyo.

JIBU

Kama nilivyosema awali mimi ni mpangaji sijajenga kwahyo hapo nilipopanga siishi peke yangu,kuna wapangaji wengine wenye wake zao wanashinda majumbani 24hrs, kwahyo Hao wapangaji ndio Nitakao waachia Funguo kwahyo ukija nitakuelekeza tu ufunguo uwe unaufata kwa nani na ukiondoka umuachie nani,maana utapochukua funguo n kwa mtu mwingine na utakapoacha wakati ukiondoka n kwengine kutokana na ratba yangu ya kurudi kuwa mbaya n lazima funguo utauacha mahali ambapo huyo mtu najua mida ninayorudi anakua macho kuepuka kusumbua watu wengine.

Naishi MBEZI MWISHO wengine hupaita MBEZI YA KIMARA. Kwa mawasiliano karibu PM.

ASANTENI na MUBARIKIWE, waG fyaaa (wajifyaaaa)
Nimekuja pm naona text inakataa kusend ..!! Kama hujapata mtu naomba tuwasiliane ili uniajiri 0693656754.
 
Hao wa kampuni ndo balaa zaidi. Sisi tuliwahi kupigwa tukio na housegirl wa kampuni, baada ya kufuatilia ikaja kugundulika ni mpango wa hiyo kampuni huwa wanachonga madili na hao wadada kupiga matukio wakishaanza kazi sehemu.
Juzi shoga angu kaletewa house girl huyo ana familia kaja na mtoto mmoja wengine sijui kaacha wapi,kisanga shoga angu ana mapacha sasa sijui ataleaje watoto watatu
 
⚡The operator of the GTS of Ukraine announced that from May 11 it will stop the transit of gas to Europe through the Sohranivka gas distribution station.
20220502_010825.png
 
More than 12 million people took part in the Immortal Regiment campaign in Russia, the Ministry of Internal Affairs reported.

“This year, the patriotic action “Immortal Regiment” took place on the territory of Russia in the traditional format of a national procession. More than 12 million people took part in it. Law and order during the action is provided by police officers in full, ”the department said.

20220502_010825.png
 
This is beneficial for American defense companies, but not for the Ukrainian people.”

Further shipment of weapons to Ukraine will only lead to an escalation of the conflict. This was stated by RT civil rights lawyer Robert Patillo, commenting on Biden's signing of the lend-lease law.

“You need to understand that, although what is happening in the West has been called a war for two months now, this is a special military operation.

Now the fighting is being carried out in a pinpoint manner, but continued resistance with the support of the West creates the danger of the conflict escalating into a full-scale war. We have already seen this in Vietnam and Korea,” said the lawyer.
20220502_010825.png
 
Maria Zakharova @MariaVladimirovnaZakharova reacted to the words of Kuleba, who threatened the European Union:

“Ukrainian Foreign Minister Kuleba: “If we don’t get candidate status, it can mean only one thing – Europe is trying to deceive us. And we won't swallow it."

Before that, they swallowed. And it worked out well."
20220502_010825.png
 

Similar Discussions

12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom