Msaidizi wa Kampeni wa Edward Lowassa mbaroni

Msaidizi wa Kampeni wa Edward Lowassa mbaroni

Tangu mbowe awe NA nguvu kisiasa tumeshuhudia mambo mengi sana ya ajabu ajabu yeye ndo alikuja NA Sera za majimbo/ukanda kipindi anagombea uraisi NA sasa kaungana na Edo tatizo linazidi kuwa kubwa bila kumuweka sawa huyu jamaa wanapoteza muda na rasilimali zetu tu,
 
Hivi ni kosa mimi na kampuni yangu kufanyia consultancy raia wa Ghana?
 
Tangu mbowe awe NA nguvu kisiasa tumeshuhudia mambo mengi sana ya ajabu ajabu yeye ndo alikuja NA Sera za majimbo/ukanda kipindi anagombea uraisi NA sasa kaungana na Edo tatizo linazidi kuwa kubwa bila kumuweka sawa huyu jamaa wanapoteza muda na rasilimali zetu tu,
Na tatizo litazidi kuwa kubwa kama huyo Mbowe na Lowassa wenu wanafikiri wapo juu ya sheria.
 
Natamani nikutukane tusi moja baya sana, ila basi tu.

Hao vijana wana makosa kwani walikuwa na lengo la kutuletea machafuko. Hatuna mzaha na mtu yeyote anayetaka kuhatarisha amani ya nchi yetu. Na kila aliyehusika lazima akamatwe na lazima wafungwe!

Bado zamu inakuja kwa mbowe na kundi lake wote, labda akimbie nchi, wewe subiri sasa. Si nyie mlinunua watu mkidhani usalama wa taifa wamelala, waliwaachia tu ili uchaguzi upite, sasa kazi kwenu.

Siku nyingine mjifunze kuwa realistic, siyo mtu unapewa kazi ya kuhatarisha amani na tapeli kama mbowe wewe unakubali tu.
Punguza kutapika we mwehu
 
Hizi conspiracy na theory zisizohataeleweka hazina msaada kwa Taifa. Hakuna mtu atakayeonewa. Sikufaham lakini ninakuomba andika vitu vyenye ukweli na vyenye kuleta mshikamani. Hii dhana ya purging waachie Warundi wameizoea. nchi yetu ni tofauti. Na kama huelewi nini maana ya umwagaji damu na huwa unaanza na kauli hizi, watembelee wakimbizi na uwasikilize. Tutapotea sisi na vizazi vijavyo. Siasa ni muhim lakini UTANZANIA KWANZA.
Huwa nashangaa wafuasi wengi wa ccm wanajitetea na hii kauli ya tanzania kwanza. Hao wanaokamatwakamatwa kwani sio watz. Au watanzania ni walioko ccm pekee? Tafadhali acheni huo unafiki
 
Wabakaji wa Demokrasia wanajaribu kuuzima moto wa mabadiliko kwa kumwagia mafuta ya Petroli .... Tehe tehe teeh ...
 
Huwa nashangaa wafuasi wengi wa ccm wanajitetea na hii kauli ya tanzania kwanza. Hao wanaokamatwakamatwa kwani sio watz. Au watanzania ni walioko ccm pekee? Tafadhali acheni huo unafiki
Ndugu naona umecharuka kweli. Kuna yule mmoja kama umesoma leo kwenye Dailynews leo, alikiri mahakamani kuwa na furaha kwa polisi kuuawa. Kuhusiana na tukio la huyu bwana, kuna sheria na taratibu. Ni mahakama hizi ziliwapitia watu wa EPA waliokuwa CCM, ni mahakama hizi ziliwapitia mawaziri wa fedha waliokuwa CCM, kuna tatizo gani tukiamini vyombo vya dola na sheria vinauwezo wa kufanya kazi kwa weledi?
Hakuna mtu anayependa yamfike mabaya mwenzie labda nu punguani lakini ikitokea basi ni vyema tuhakikishe nchi yetu inaimarika na kusonga mbele. Tuungane ndugu, sisi ni WATANZANIA.
 
Huu ni ujinga mkubwa wa Chadema kufanya upuuzi eti wakikamatwa wameonewa

Huyo jamaa Stanbic kwenyewe alifukuzwa
 
ishu ni simple na ndiyo maana matokeo ya zenj yalifutwa.....halaf ni kosa kwa mgeni kupiga kura ama kuingilia mchakato wa upi kura.....huo ni uhaini yaan waangaliz tu hawaruhusiwi sembuse mtu asiye na kibali......yan hata mkimbiz ni marufuku ....tatizo ndo hilo na akina lowassa wanajua sana
Alivyokuwa CCM alikuwa na kibali? Au ndio yale ya Bashe, Ulimwengu etc.
 
Utawala wa kiimla ndio huu.
Kama haupo nao ndo wanakufuata.
 
Ndugu naona umecharuka kweli. Kuna yule mmoja kama umesoma leo kwenye Dailynews leo, alikiri mahakamani kuwa na furaha kwa polisi kuuawa. Kuhusiana na tukio la huyu bwana, kuna sheria na taratibu. Ni mahakama hizi ziliwapitia watu wa EPA waliokuwa CCM, ni mahakama hizi ziliwapitia mawaziri wa fedha waliokuwa CCM, kuna tatizo gani tukiamini vyombo vya dola na sheria vinauwezo wa kufanya kazi kwa weledi?
Hakuna mtu anayependa yamfike mabaya mwenzie labda nu punguani lakini ikitokea basi ni vyema tuhakikishe nchi yetu inaimarika na kusonga mbele. Tuungane ndugu, sisi ni WATANZANIA.

Ili huo weledi unaozungumzia ueleweke zaidi hebu weka mifano ya kipindi chote cha kampeni toka wale vijana 24 na masha hadi sasa ni ccm yupi aliyekamatwa? Rungu la weledi litaangalia kwa wapinzani tu?
 
Hizi conspiracy na theory zisizohataeleweka hazina msaada kwa Taifa. Hakuna mtu atakayeonewa. Sikufaham lakini ninakuomba andika vitu vyenye ukweli na vyenye kuleta mshikamani. Hii dhana ya purging waachie Warundi wameizoea. nchi yetu ni tofauti. Na kama huelewi nini maana ya umwagaji damu na huwa unaanza na kauli hizi, watembelee wakimbizi na uwasikilize. Tutapotea sisi na vizazi vijavyo. Siasa ni muhim lakini UTANZANIA KWANZA.

Haya unayoongea,serikali ingeyasimamia na Polisi ikasitisha kamata kamata halafu wanachama wenu wakaeleweshwa kwamba uchaguzi umeisha ningewaelewa. Unakuta mtu mmoja kama wewe anatoa elimu ya uelewa ila system nzima inafanya kazi tofauti.
 
Mbaya zaidi jamaa ni mkenya na hakuwa na kibali cha kufanya siasa nchi.

Watu wengine vichwa vyenu afadhali ya Pampers zinathamani...sasa kutokuwa RAIA....imejulikana baada yakuja UKAWA mwezi wa 7?...nivipi alipokuwa anamuunga mkono Lowasa akiwa huko kwenu....
 
Polisi Wanajua Amekamatiwa Nini?
Ni Bora Kusubiri Taarifa Rasmi Kuliko Kuweka Hisia za Kisiasa Kwa Kila Jambo!
Kuwa Mshauri wa Lowassa Haifanyi Kuwa Hawezi Kutenda Kosa Lingine Ni Binadamu Huyu Mwenye Mapungufu Kama WENGINE Tu.
 
Tuviache vyombo vya vifanye kazi yake, kulia lia kwa nembo ya upinzani haisaidii
 
Back
Top Bottom