LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Nikiwa hapa Technical College Arusha,mara msafara wa magari aina ya Landcruiser Vx tu na ndipo nikamwona ni mtoto wa mkulima ndio amesababisha msafara wote!
Anayejua kwa undani anakoelekea huyu PM atujuze tu!
Ana msafara wa magari kama 35 bila ya kukosea!
Nawasilisha!
Anayejua kwa undani anakoelekea huyu PM atujuze tu!
Ana msafara wa magari kama 35 bila ya kukosea!
Nawasilisha!