Kirode
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 3,566
- 82
Yuko uc,
Amevaa suti au batiki?
Amevaa suti au batiki?
kasubiri lema hayupo ndio anatia timu,jizi tu hilo hakuna cha mkulima wala nini.anajifanya mlokole kumbe jizi tu,tena jizi **** wezi wenzie wanaiba kumi yeye kama kiongozi mkuu anaiba moja,hana jipya huyo achape lapa arachuga machalii hawataki mafisadi hata rock city hatuwataki ndio maana wanashirikiana na polisisiemu kutaka kuwauwa makamanda wetu kwa kuwapiga mapanga
Una hasira kali sana. Hujaenda kanisani leo?Nilitarajia kukuta maneno haya "UMEACHA NJIA NA KUTUMBUKIA MTO NDURUMA, HAIJAJULIKANA MARA MOJA KAMA GARI ALILOKUWEMO PINDA NALO LIMETUMBUKIA AU LA" reason behind, anaruhusu mawaziri kutenda makosa ref. jibu lake kwa Mh. Mbunge wa hai. (TUNAGENERATE HASIRA NDANI KWA NDANI)
Mwenyewe anadai hapendi magari ya kifahari!!!!
Jamani si amesema anapunguza matumizi yasiyo ya lazima sasa msafara wa magari 35 yote ya nini? Halafu sasa hivi angalau anaamni anapo kuja Arusha baada ya Lema kwenda likizo ..
Vipi mkuu hukuzomea hata kidogo
Una hasira kali sana. Hujaenda kanisani leo?
Ziara hii ni isiyositahili kulalamikiwa maana kazi aliyoifuta inaonekana kwa wote waishio Arusha ambayo ni ufunguzi wa tawi la bank ya ABS ni swala la maaendeleo ya mji na nchi kwa ujumla wake
pinda ni waziri mkuu dhaifu na mbumbumbu kuliko mawaziri wakuu wote waliopita katika nchi hii...