Kichekesho!Dar es salaam kuna kitu kimoja ikifanyika sensa halafu ukaweka kipengele kinachohusu Dini then utajua wakazi walio wengi Dar ( ukiondoa majimbo ya watu wa kuja au wasio wazawa kufuatana na tafsiri ya Iddi Simba) utagundua ni masikini wanaoshinda kwa mlo mmoja na wamepumbazwa na itikadi ya Cuf chama cha Dini Fulani. Kwani wanaaswa kwenye Nyumba za ibada kwamba kule ikulu hakuna Kafir kwa hiyo maandamano au kuipinga Ccm na Cuf ni kinyume cha dini yao. Kwa Hilo ccm na Cuf wamefanikiwa. You can't have a powerful opposition Kama akina Kova wapo. Kama kuna mwenye ubishi jaribu Kinondoni, Ilala au Temeke moto utakuwakia of course na elimu duni inachangia. If you think It's a joke ask the disgraceful Iddi Simba na pesa za EPA!Hata mimi nashangaa jiji la dar mbona mmelala?