Msafara wa mamba na KENGE WAPO..!

Msafara wa mamba na KENGE WAPO..!

nisaidieni, mimi nimeona watu wameinama kutoa heshima zao sijui kwa kitu gani - mbona kenge haonekani hapo?

1.Rangi ya ngozi tofauti
2.Rangi ya mavazi tofauti
3.Style ya kutoa heshima <kuinama> tofauti
4.Kwenye kufuata mstari tofauti.
 
nimecheka sana!ha ha ha ha nape ana aibisha sana!ccm kupewa msaada toka chama cha kisoshalist cha china
 
Kweli kwenye msafara wa mamba hata magamba wamo
 
Ukiwaangalia hao wachona wote utagundua wameinama karibu kwa angle sawa!! They are really flexible!!! Ukimwangali kenge, mgongo mgumu kama hardened steel!!!

Mazoezi jamani ni mazuri kwa afya zetu....

Mkuu hilo shati la Mzee Ghadafi kwenye Avatar yako nimelielewa sana...sjui yanapatikana wapi haya! ila kofia staki.
 
hahahahahhah,kweli kenge nimeliona na linahitaji kuona tu na si eleim u yoyote kulitambua
 
nisaidieni, mimi nimeona watu wameinama kutoa heshima zao sijui kwa kitu gani - mbona kenge haonekani hapo?

Angalia vizuri utaona aliye tofauiti na wengine kuanzia matendo mpaka mavazi, unajua hawa wenzetu wanavaa kulingana na ocassion. Suti nyeusi ni official katika mikutano, sasa angalia kenge kavaaje.
 
umenichekesha sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.<label for="rb_iconid_6">
icon6.png
</label><label for="rb_iconid_7">
icon7.png
</label><label for="rb_iconid_7">
icon7.png
</label><label for="rb_iconid_10">
icon10.png
</label><label for="rb_iconid_14">
icon14.png
</label>
 
tena hili ni kenge kweli kweli hata tai halijavaa ilhali wengine wote wamevaa. Lilijua linakutana na wanadiplomasia likavaa suti ya kunywea bia
 
Shida ya kenge huwa hawawezi ku blend-in properly hata kama wapepaka lipstick. Si unaona huyu anavyoonekana tofauti?
 
Back
Top Bottom