Msafara wa Lowassa wasimamishwa Ubungo

Msafara wa Lowassa wasimamishwa Ubungo

Hilo ni muhimu sana Mkuu,mimi binafsi nishafanya hivyo tupambane kuhamasisha hakuna njia rahisi ya mabadiliko ,ni kutumia kila mbinu wakuuuu!!! Viva lowasaaaa

Nasema ni mbinu nzuri ya kutafuta ushindi hata kama ni kwa kuchelewa.
 
Tunasubiri Tu Kuweka Picha Yake Ktk Hela Utakazoanza Kuzitumia Mwezi January 2016 Na Pia Picha Zake Nyingi Tu Kuanzia Tarehe 2, November 2015 Utaanza Kuziona Zimebandikwa Ukutani Maofisini Humo Na Ktk Sehemu Mbalimbali. Jipeni Tu MOYO Na JIDANGANYENI Kwa Huyo MKWEKAJI Wenu Wa Majukwaani Ndiyo Atakuwa Rais Wakati Ninavyojua Ni Kwamba Kwa MAANDALIZI Tunayomalizia Sasa 99.999% Dr. John Pombe Joseph Magufuli Ndiyo Next President Wako / Wenu MTAKE MSITAKE Period!

Tutake,tusitake!?!?
Mtalazimisha!!??
Kweli mwaka huu tutapigwa risasi za moto wengi,maana tutamchagua Lowasa.
 
mwaka huu kura za mijini zitaamua rais!!

Kura za kanda ya ziwa nikupe habari ndo ukawa wangejaribu kujikita, kule kuna watu kibaoo yaani nyomi ila bahati mbaya kwa ukawa, watu wa kule wengi wameelimika na wana uwezo wa kujua zuri na baya, kanda ya ziwa ndo wanaaoamua nani awe rais.
 
Nd

Ndio maana ni karibu watanzania wote wana ndugu kila mmoja akimuambia wa kwao tunaweza badili hata vichwa million moja

Tatizo linakuja vijana wengi wa ukawa hiya lowassa hawakuaga nyumbani yaani vijijini.
 
Ona mipango ya mungu mawaziri walivopendeza kwenye msafara huo?

Viva lowasa
viva sumaye
 
hahahahhaha.....si kweli ni 70 30 for CCM....CCM hua mnasomba watu toka maneromango

Kama wewe una jicho la ziada, ungekuwa umetambua kuwa kwa Dar ukawa wanajionesha hivyo wanaonekana wengi ila wa ccm hawajioneshi, ila ni wengi sana!
Tarehe 28.10. Ndo watu watakaoshangaa. Na kuanza kusema kuna wizi.
 
Back
Top Bottom