Naunga mkono hoja wahusika litazameni hili
Naunga mkono hoja wanajamvi
Naunga mkono hoja wahusika litazameni hili
Una akili sana,mimi tayari zamani mkuu.
Labda nifanye kurudia tu kuwakunbusha.
Naunga mkonyo hoja wanajamvi
Ianzishwe kampeni maalumu ya watu wa dar kuwaomba wa vijijini kumpigia lowassa kura iitwe "ongea na home lowassa awe raisi"
Dar Still Ni 50 50....
Dar Still Ni 50 50....
Sasa ni wazi Dar es Salaam imefunga. Hii ni baada ya msafara wa mgombea wa UKAWA Edward Lowassa kusimamishwa ma maelfu ya wananchi wa Ubungo na kuamua kumsindikizwa mpaka Tandale.
Unaota
mwamko bado mdogo, ukilinganisha na mikoani
hahahahhaha.....si kweli ni 70 30 for CCM....CCM hua mnasomba watu toka maneromango
Kama Naota Uje Kuniamsha 25 Oct,tuone Nani Alikuwa Anaota
Dar Still Ni 50 50....
Sasa Kama Nyie Mnajiamimini Kuwa Mtashinda Hivo Why Mrudi Kila Wiki Dar?