Pitisha msiba wako ufunge tukuone
WA kwako unafaa pia
Pitisha msiba wako ufunge tukuone
mkuu umenifanya nicheke sana
WA kwako unafaa pia
nenda kapigwe madole na Nyoso,unamtetea sio bure
Siku Nyingine Ukiwa Unaandika ID Yangu Uwe Unatulia Kwanza Na Usiikosee Sawa Wewe NGUCHIRO? Watu Wengine ID Zetu Ni BRAND Tosha MITANDAONI Na Zinagombaniwa Na Kufuatiliwa Kila Mara Na Kuwafanya Watu Wengine Humu Njia Zao Za Kwenda MALIWATONI Zisiote Nyasi. Naitwa GENTAMYCINE Sawa Siyo Huo UPOPOMA Wako Uliouandika Hapo.
Usinikimbie tu
Siwezi Nikakukimbia Mkuu Mimi Jf Ndo Watsapp Yangu Ndo Facebook Yangu....
Mkuu leo umepevuka asee
You are geneous... Tuaze na sisi tuliokoment... Kwa kupost ktk wall zetu na account zetu ili wazo la jamaa lienee fasta. Sio lzma liazie kw wakubwa..kumbukeni makamanda kua wapga kampeni no sisi wote wanachama, hatuna kamati ka ya wapandisha twigana.Nimeipenda bure
Tunasubiri Tu Kuweka Picha Yake Ktk Hela Utakazoanza Kuzitumia Mwezi January 2016 Na Pia Picha Zake Nyingi Tu Kuanzia Tarehe 2, November 2015 Utaanza Kuziona Zimebandikwa Ukutani Maofisini Humo Na Ktk Sehemu Mbalimbali. Jipeni Tu MOYO Na JIDANGANYENI Kwa Huyo MKWEKAJI Wenu Wa Majukwaani Ndiyo Atakuwa Rais Wakati Ninavyojua Ni Kwamba Kwa MAANDALIZI Tunayomalizia Sasa 99.999% Dr. John Pombe Joseph Magufuli Ndiyo Next President Wako / Wenu MTAKE MSITAKE Period!
wakuu hongereni kwa hyo hoja ya ongea lowasa awe rais..Mpaka sasa kwa upande wangu nimeshaanza kampeni kabambe na mtandao wangu wa MTANDAO WA KURA YA MABADILIKO-KURA YANGU KWA LOWASA 2015 MIMI NI MWANAMTANDAO-Naombeni mniunge mkono nazunguka nchi nzima na leo ndio nimezindua rasmi
Nimepitia comment zote ndani ya uzi huu sijaona comment za faiza fox, lizabon, et al naona wanachungulia kwa mbaaaali ka wale watoza ushuru
Maswali ya kawaida kabisa:
Walijuaje Lowassa atatumia usafiri wa gari na sio Helkopta? Na walijiuaje njia atakayotumua na muda atakaopita?
Tunasubiri Tu Kuweka Picha Yake Ktk Hela Utakazoanza Kuzitumia Mwezi January 2016 Na Pia Picha Zake Nyingi Tu Kuanzia Tarehe 2, November 2015 Utaanza Kuziona Zimebandikwa Ukutani Maofisini Humo Na Ktk Sehemu Mbalimbali. Jipeni Tu MOYO Na JIDANGANYENI Kwa Huyo MKWEKAJI Wenu Wa Majukwaani Ndiyo Atakuwa Rais Wakati Ninavyojua Ni Kwamba Kwa MAANDALIZI Tunayomalizia Sasa 99.999% Dr. John Pombe Joseph Magufuli Ndiyo Next President Wako / Wenu MTAKE MSITAKE Period!
Ianzishwe kampeni maalumu ya watu wa dar kuwaomba wa vijijini kumpigia lowassa kura iitwe "ongea na home lowassa awe raisi"
Umeanzia wapi?
Kampeni Haziwezi Zikafanyika Wote Kwa Siku Moja Mkuu,mkoa Mmoja...
mwaka huu kura za mijini zitaamua rais!!