Msafara wa Lowassa wasimamishwa Ubungo

Msafara wa Lowassa wasimamishwa Ubungo

Maswali ya kawaida kabisa:

Walijuaje Lowassa atatumia usafiri wa gari na sio Helkopta? Na walijiuaje njia atakayotumua na muda atakaopita?

Mkuu huna simu ya kiganjani...magufuli alizomewa mbeya baada ya dk 3 kila mahali imetapakaa...ni nomaa
 
Ila tunatofautiana sana kifikra nadhani wanaoshabikia ccm kuna mawili 1.Wananufaika na mfumo huu mbovu wa serial.
2.Hawajielewi /Hawa2elewi Kwa nini tunataka mabadiriko na mabadriko hayo ni yapi..ndo maana wanaamini Mabadriko kupitia magufuri ambayo ni mabadriko Kwa maana ya ccm kubadrisha m/kit wa chama,kikwete-Magufuri.


Mabadriko 2nayoyataka ni kuondoa mfumo wa ccm wa wa2 wachache kugeuza nchi hii ni ya Kwao na kuwaamlia kila ki2 watz walio wengi tunamchaua lowassa /ukawa sababu wamekubar kurejesha katba mpya yenye kukurejesha mamlaka ya nchi kwa wananch ...na huu ndio mwarobain wa ubabaishaji wa viongoz wa ccm
 
Sasa ni wazi Dar es Salaam imefunga. Hii ni baada ya msafara wa mgombea wa UKAWA Edward Lowassa kusimamishwa ma maelfu ya wananchi wa Ubungo na kuamua kumsindikizwa mpaka Tandale.
View attachment 293496

Kweli Magufuli anapiga kazi!
Ubungo haikuwa hivi, leo Lowasa na wazee wa viroba wana enjoy kupita barabarani kirahisi hivyo!
Na kama mtasema ni pesa za umma Ila asikwambie mtu kutimiza majukumu kwa % kubwa namna hiyo ni jambo la kusifia!
Lowasa yeye alijipa jukumu la kwenda kununua mvua Malaysia hadi leo tunasubiri mvua yetu!
 
Ila tunatofautiana sana kifikra nadhani wanaoshabikia ccm kuna mawili 1.Wananufaika na mfumo huu mbovu wa serial.
2.Hawajielewi /Hawa2elewi Kwa nini tunataka mabadiriko na mabadriko hayo ni yapi..ndo maana wanaamini Mabadriko kupitia magufuri ambayo ni mabadriko Kwa maana ya ccm kubadrisha m/kit wa chama,kikwete-Magufuri.


Mabadriko 2nayoyataka ni kuondoa mfumo wa ccm wa wa2 wachache kugeuza nchi hii ni ya Kwao na kuwaamlia kila ki2 watz walio wengi tunamchaua lowassa /ukawa sababu wamekubar kurejesha katba mpya yenye kukurejesha mamlaka ya nchi kwa wananch ...na huu ndio mwarobain wa ubabaishaji wa viongoz wa ccm

vijana wa sasa n nini kimewaathiri ubongo? mabadriko=mabadiliko.mimi wengi huwa lazima a sup ndo naridhika. nilishatengeneza disc nyingi kwa huu usharobaro wa kimaandishi. watch out guys..
 
Back
Top Bottom