Msafara wa Lowassa wasimamishwa Ubungo

Msafara wa Lowassa wasimamishwa Ubungo

Sasa Kama Nyie Mnajiamimini Kuwa Mtashinda Hivo Why Mrudi Kila Wiki Dar?

This is very strategic campain tatizo mgombea wa ccm hataweza hii maana lazima abadili hali ya hewa taratibu huwezi muweka leo dar kesho manyara keshokutwa mwanza Hawez
 
Sasa Kama Nyie Mnajiamimini Kuwa Mtashinda Hivo Why Mrudi Kila Wiki Dar?

Ni ratiba yetu ya kampeni.......Na tume wameipitisha.....Lazima tuongee na wapiga kura wetu....Unataka kutupangia pa kwenda?

Mwambie magufuli aje hapa dar apite ubungo kama hatazomewa
 
Ntakuamsha 28 october mana ndo siku watu tutasimama kubadili nchi matokeo tutayapokelea kweny viwanja vyote vikubwa kuanzia bunju hadi Pugu

Nahisi Hiyo Siku Ndo Mtakuwa Mnagawana Fito Za Ufipa Rasmi
 
Hii nimeifanya hadi sasa nina watu kumi kijijini kwetu nao wanaendelea na hamasa lazima migamba ikome
Ianzishwe kampeni maalumu ya watu wa dar kuwaomba wa vijijini kumpigia lowassa kura iitwe "ongea na home lowassa awe raisi"
 
Ianzishwe kampeni maalumu ya watu wa dar kuwaomba wa vijijini kumpigia lowassa kura iitwe "ongea na home lowassa awe raisi"

Wazo zuri na sasa tunalifanyia kazi mimi na wewe, Tusisubiri kundi au mtu kutoka nje aje atusaidie katika kutengeneza idea zenye mishiko. Facebook, whatsapp, twitter, na huko kwingine. Just put a heading"ONGEA NA HOME LOWASSA NI WETU" and flush kwa network...Hiyo ndio kampeni. Wana MABADILIKO NI WABUNIFU DAIMA.
 
Mkuu taratibu naona unatoroka kuja

Never Bro,kuna Vitu Nimeangalia Mpaka Nikasema Hivo..Kuna Watu Dar Wenye Mvuto Zaidi Watakaoweza Ipatia Kura Ukawa Mf.Mnyika Lakini Still Ukiangalia Kama Temeke Mtemvu Anamvuto Zaid,unaweza Kuona Jinsi Mchuano Ulivo Mkali,tuache Ushabiki Tuzungumze Fact
 
Never Bro,kuna Vitu Nimeangalia Mpaka Nikasema Hivo..Kuna Watu Dar Wenye Mvuto Zaidi Watakaoweza Ipatia Kura Ukawa Mf.Mnyika Lakini Still Ukiangalia Kama Temeke Mtemvu Anamvuto Zaid,unaweza Kuona Jinsi Mchuano Ulivo Mkali,tuache Ushabiki Tuzungumze Fact

GENTAMYCINE!huyu ni pacha wako?
 
Last edited by a moderator:
Ianzishwe kampeni maalumu ya watu wa dar kuwaomba wa vijijini kumpigia lowassa kura iitwe "ongea na home lowassa awe raisi"


Hilo suala Lowassa aliliongelea tangu siku ya ufunguzi wa kampeni akasema DSM ndio pressure group hivyo watu wa DSM ndo watamuombea kura kwa ndugu zao wa vijijini!!
 
Back
Top Bottom