Msafara wa Lowassa wasimamishwa Ubungo

Msafara wa Lowassa wasimamishwa Ubungo

Kura za kanda ya ziwa nikupe habari ndo ukawa wangejaribu kujikita, kule kuna watu kibaoo yaani nyomi ila bahati mbaya kwa ukawa, watu wa kule wengi wameelimika na wana uwezo wa kujua zuri na baya, kanda ya ziwa ndo wanaaoamua nani awe rais.
Kanda ya ziwa wasipate hofu, tunamjua Magufuri kuliko ninyi, alianzia kufirisi Nyanza Co-op LTD alipochaguliwa mbunge akawa anafungulia matusi na kejeli.Hata Chato kwenyewe hapati hata 40% ya kura za urais na ninahofu hata mke wake hatampa kura. Pia huku kuna chopa ya UKAWA vijana wanapiga kazi vijijini kama nini mpaka mikutano nane kwa siku.
 
Haya si ni maandamano kabisa? Si ni sawa tu na yale yaliyosababisha Rev Msigwa au yule mgombea ubunge wa Mpanda (CHADEMA) kukamatwa??

Polisi hawayaoni siyo? Hawa polisi ni wakuda sana na ni wazi wana double standard na au pengine wameugwaya umati huo kwani badala ya kushusha mkong'oto wao ndiyo wanaoweza kushushiwa, alaaa!!

##Magufuli Toroka uje weweee, huna chako hukooo!!
 
Lowassa anachukiwa kama Yesu.
ndio dalili ya kiongozi anaetoka kwa Mungu..
wamemtusi hakuwajibu.
Hapo nimemkubali lowasa. Kitendo cha kutojibu matusi wana ccm kinampa heshima na ukomavu kisiasa.
NI LOWASA TU HAKUNA NAMNA NYINGINE
 
Kanda ya ziwa wasipate hofu, tunamjua Magufuri kuliko ninyi, alianzia kufirisi Nyanza Co-op LTD alipochaguliwa mbunge akawa anafungulia matusi na kejeli.Hata Chato kwenyewe hapati hata 40% ya kura za urais na ninahofu hata mke wake hatampa kura. Pia huku kuna chopa ya UKAWA vijana wanapiga kazi vijijini kama nini mpaka mikutano nane kwa siku.

CCM waji.nga kweli.. Kwa akili yao wanafkiri ukabila unaweza kumbeba Magufuli kanda ya ziwa..... Wangejua Magufuli hakubaliki kanda ya ziwa vibaya sana.... Hata kwao Geita hawamtaki
 
Dar ni sehemu ya mishemishe na ndio maana lazima urudi mara nyingi kuwapa watu attention, nakwambia magufuli Dar hapati kura hata kata ya Ikulu ilipo.

Unajua Lowassa ni mjanja sana...Magufuli bado sana.
 
CCM waji.nga kweli.. Kwa akili yao wanafkiri ukabila unaweza kumbeba Magufuli kanda ya ziwa..... Wangejua Magufuli hakubaliki kanda ya ziwa vibaya sana.... Hata kwao Geita hawamtaki
Unajidanganya.Wenye wasi wamezunguka makanisani.umesahau?
 
attachment.php
 
Hapo nimemkubali lowasa. Kitendo cha kutojibu matusi wana ccm kinampa heshima na ukomavu kisiasa.


NI LOWASA TU HAKUNA NAMNA NYINGINE

Mkuu huwa zinajibiwa hoja sio matusi,Tume ina kazi ya ziada inaelekea unahitaji elimu ya mpiga kura!
 
Ila Mr. Chin kapangiwa usiku mkali sana kuanzia saa tisa ya usiku ataanza mbwe mbwe zake yangu macho. January kawapanda kweli vijana hawa
 
CCM waji.nga kweli.. Kwa akili yao wanafkiri ukabila unaweza kumbeba Maufuli kanda ya ziwa..... Wangejua Magufuli hakubaliki kanda ya ziwa vibaya sana.... Hata kwao Geita hawamtaki

Nani kakudanganya kuwa Magufuli hapendwi kanda ya ziwa? Mnahaha mcheza kwao hutuzwa ndo maana Lowasa kaskazini naye atapata kura nyingi. Magufuli atapata 80% kanda ya ziwa na hilo halina ubishi. #Hapakazi tu majungu na Ufisadi peleka Ukawa.
 
Nani kakudanganya kuwa Magufuli hapendwi kanda ya ziwa? Mnahaha mcheza kwao hutuzwa ndo maana Lowasa kaskazini naye atapata kura nyingi. Magufuli atapata 80% kanda ya ziwa na hilo halina ubishi. #Hapakazi tu majungu na Ufisadi peleka Ukawa.


Hapo tu ndipo mlipo angukia Pua!
 
Ianzishwe kampeni maalumu ya watu wa dar kuwaomba wa vijijini kumpigia lowassa kura iitwe "ongea na home lowassa awe raisi"

Maeneo mwenyewe anayosema ya waswahiliswahili bado hayamkubali, labda kule kwa watu wa nyumbani ubungo a sinza!
 
Kanda ya ziwa wasipate hofu, tunamjua Magufuri kuliko ninyi, alianzia kufirisi Nyanza Co-op LTD alipochaguliwa mbunge akawa anafungulia matusi na kejeli.Hata Chato kwenyewe hapati hata 40% ya kura za urais na ninahofu hata mke wake hatampa kura. Pia huku kuna chopa ya UKAWA vijana wanapiga kazi vijijini kama nini mpaka mikutano nane kwa siku.

KUMBE ALIFILISI NYANZA COOP,NA KWA JINSI ANAVYOONGEA HAKIKA WANANCHI WALIKOSA LA KUFANYA,MUEPUKENI HUYO WANA KANDA YA ZIWAi
 
Back
Top Bottom