Msafara wa Lowassa wasimamishwa Ubungo

Msafara wa Lowassa wasimamishwa Ubungo

Maswali ya kawaida kabisa:

Walijuaje Lowassa atatumia usafiri wa gari na sio Helkopta? Na walijiuaje njia atakayotumua na muda atakaopita?

Ukitoba Tabata kuja Sinza njia gani rahisi?.... We kweli kilaza kweli
 
This is very strategic campain tatizo mgombea wa ccm hataweza hii maana lazima abadili hali ya hewa taratibu huwezi muweka leo dar kesho manyara keshokutwa mwanza Hawez

Mkuu Sisi Tunapiga Mtaa Kwa Mtaa,nyie Mnapiga Kwa Chopa Hatuwezi Kuendana.Pili,tuwe Wa Kweli Lowassa Anarudi Dar Kwa Matibabu Pia So Lazima Arudi Dar,wote Ni Wagonjwa Sitaki Mnielewe Vibaya
 
Ni ratiba yetu ya kampeni.......Na tume wameipitisha.....Lazima tuongee na wapiga kura wetu....Unataka kutupangia pa kwenda?

Mwambie magufuli aje hapa dar apite ubungo kama hatazomewa

Mkuu Kila Mtu Akiamua Kumzomea Mwenzie Hayo Mabadiliko Hatutayapata Tutaishia Vitani Tu
 
Jibu rahisi ni hivi viongozi lazima watoe taarifa njia wanazotumia kabla hawajapita kwa ajili ya usalama na wananchi wanataarifiwa kukwepa usumbuvu kwa watumiaaji wengine wa barabara.na helkopta lazima iwe na mazingira mazuri ya kutulia haitui tu.
 
Huyu jamaa ana nyota kali ya kupendwa. Magogoni ni lazima, labda wamfanyie fitina.


Lazima Kova aje na mkwara wa kuzuia mikusanyiko! Mark my words!
 
Dar Still Ni 50 50....

Endelea kujidanganya madako wewe! Uthibitisho ni tarehe 24 siku ya kuhitimisha kampeni magamba watakapokuwa T/Packers na UKAWA wakiwa Jangwani. Tutaona kama mtapata watu!!
 
Endelea kujidanganya madako wewe! Uthibitisho ni tarehe 24 siku ta kuhitimisha kampeni magamba watakapokuwa T/Packers na UKAWA wakiwa Jangwani. Tutaona kama mtapata watu!!

Kampeni Haziwezi Zikafanyika Wote Kwa Siku Moja Mkuu,mkoa Mmoja...
 
Anatokea Choo Kilipojaa Na Kimefungwa Na Hapo Sasa Anaelekea KUUKWEKA Ktk Choo Kingine Cha Muda Kilichopo Maporini Kawe.

Popoma wewe kwanza sijakuuliza wewe una Quote ili iweje? Kilaza wa Kuwait na Libya wee.
 
Ilikuwa saa ngapi maana ratiba ilionesha atakuwa viwanja Tanganyika peck's saa kumi jioni
 
Back
Top Bottom