Nimesikia kwenye Radio sidhani kama kuna majeruhi
By the way.... Hivi hii misafara huoni kwamba inapunguza maendeleo ? Mfano hawa jamaa wakija mikoani barabara zinafungwa mpaka Nusu Saa.. Je huko sio kupotezeana muda ? Watu tupo busy na kusimama barabarani eti fulani apite ni mambo yaliyopitwa na wakati na inabidi tuangalie upya hii issue..