TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,846
- 11,210
Wakuu napata tabu sana na rafiki yanu mmoja wa karibu... sasa mpaka mimi nimeanza kukoas imani na amani maana rafiki yangu anaendeshwa kweli na mamsapu wake
Mama anashindana na kila rafiki wa mumewe, yani ukinunua gari, basi na shem atamuendesha jamaa mpaka anunue gari. Mwanamama anashinda na madalali tu mara kiwanja, mara fremu, mara gari, sasa imeanza kuwa tabu kwani jamaa ameingia kwenye madeni makubwa sana na anafikiria kukimbia nchi
Ungekua wewe ungeshauri nini?
Mama anashindana na kila rafiki wa mumewe, yani ukinunua gari, basi na shem atamuendesha jamaa mpaka anunue gari. Mwanamama anashinda na madalali tu mara kiwanja, mara fremu, mara gari, sasa imeanza kuwa tabu kwani jamaa ameingia kwenye madeni makubwa sana na anafikiria kukimbia nchi
Ungekua wewe ungeshauri nini?