Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,476
wengine huwa hawaonyeshwi hayo ni tabia ya mtu na ndugu yangu mmoja anafanana na huyo mke anayemuelezea acid hapo mumewe amekuwa kama amechanganyikiwa sasa amesema mpaka kwa ndugu lakini wapi mke ni kama anataka kumiliki dunia vile mpaka mke sasa anagawa huko nje apate pesa
Napatwa na wasiwasi hawa jamaa walianzaje sababu kama ni tamaa zimeanza kuja ghafla basi inaonekana huyu mwanamke anataka kuexceed expectations ambazo mumewe hana uwezo nazo. Jambo la msingi ambalo huyu jamaa anapaswa kufanya kwanza ni kukaa chini na kuongea nae kwanza sababu things will get worse and worse huku unajaribu kum-please mkeo at the same time unajiingiza kwenye matatizo ambayo yeye she even doesn't think of, cousin my take itabidi jamaa aongee nae na amuelezee hali halisi si ajabu huyu mwanamke akawa na wanawake wenzake ambao wanamshauri na kumwambia kuwa "Mwambie mumeo akufanyie hivi mbona fulani anafanyiwa hivi na mumewe bila kufikiria kipato cha mwenzako ni kiasi gani" Si unajua wanawake tena wakikutana.