TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,890
- 11,288
- Thread starter
- #41
he is a very good friend, tatizo unaweza ukaharibu urafiki kwa kumwambia .... ndio maana nikauliza ni namna gani unaweza kuintroduce hii topic?? au kwa sms ya namba asiyoijua?hizi ndoa zina mambo kweli kweli.
kwanza huyo rafiki yako aache ukimya, amkalishe chini mke wake na kuliongelea hili, maisha ni mipango huyo mwanamke anatakiwa kusemwa haswa, anaonyesha umimi umemzidi.
Acid kama ni rafiki yako mimi naona hata kama hayakuambia labda anaona so kaa nae kwa ukaribu na uongeenae kishkaji mshauri kitu naamini hawezi kukataa ushauri wako