MKIBAIGWAsharkss
JF-Expert Member
- May 25, 2017
- 574
- 1,364
Naombeni msaada namna ya kujua mtu anayetumia hii namba +255 22 222 1500 maana imekuwa ikinipigia nikiapokea anakata sasa ni miezi miwili.
Hadi nimeingia na wasiwasi huyu ni nani na kwanini anafanya hivi.
Nikijaribu kupiga simu haiendi ila ananipigia kwa wiki mara 3 sasa nikipokea haongea na anakata.
Naombeni msaada [emoji120]
Hadi nimeingia na wasiwasi huyu ni nani na kwanini anafanya hivi.
Nikijaribu kupiga simu haiendi ila ananipigia kwa wiki mara 3 sasa nikipokea haongea na anakata.
Naombeni msaada [emoji120]