Msaada

Msaada

MKIBAIGWAsharkss

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2017
Posts
574
Reaction score
1,364
Naombeni msaada namna ya kujua mtu anayetumia hii namba +255 22 222 1500 maana imekuwa ikinipigia nikiapokea anakata sasa ni miezi miwili.

Hadi nimeingia na wasiwasi huyu ni nani na kwanini anafanya hivi.

Nikijaribu kupiga simu haiendi ila ananipigia kwa wiki mara 3 sasa nikipokea haongea na anakata.


Naombeni msaada [emoji120]
 
Naombeni msaada namna ya kujua mtu anayetumia hii namba +255 22 222 1500 maana imekuwa ikinipigia nikiapokea anakata sasa ni miezi miwili.

Hadi nimeingia na wasiwasi huyu ni nani na kwanini anafanya hivi.

Nikijaribu kupiga simu haiendi ila ananipigia kwa wiki mara 3 sasa nikipokea haongea na anakata.


Naombeni msaada [emoji120]
Hiyo mbona ni landline ya jiji la darisalama.
 
Inaweza ikawa automatic system sio "mtu" anayekupigia bali system kwa sababu tofauti, mara nyingi hazina uwezo wa kupokea so simu yoyote utakayopiga inakata. Mfano si simu za matangazo au simu za nje ya nchi zinaweza kuonekana kama namba local.
 
Inaweza ikawa automatic system sio "mtu" anayekupigia bali system kwa sababu tofauti, mara nyingi hazina uwezo wa kupokea so simu yoyote utakayopiga inakata. Mfano si simu za matangazo au simu za nje ya nchi zinaweza kuonekana kama namba local.

Sawa kaka
 
Naombeni msaada namna ya kujua mtu anayetumia hii namba +255 22 222 1500 maana imekuwa ikinipigia nikiapokea anakata sasa ni miezi miwili.

Hadi nimeingia na wasiwasi huyu ni nani na kwanini anafanya hivi.

Nikijaribu kupiga simu haiendi ila ananipigia kwa wiki mara 3 sasa nikipokea haongea na anakata.


Naombeni msaada

Leo imeongezeka nyingine +255 22 222 1506

Imenipigia marambili napokea haongei anakata
 
Maana yake ya serikali??


Sasa kwanini wanafanya hivyo
Kila mkoa una code namba kwenye hizi landline

So hiyo ni 022 maana yake anayekupigia ni mkazi Dar es salaam

Kwa hiyo kakusaidia tu kukwambia mpigaji anatokea dar.
 
Hiyo ni landline ya dar ukitaka kuipiga ondoa huyo code ya +255 halafu ureplace 0 ndio upipige pili kama unataka kujua ni ya nani tembelea kituo cha ttcl waulize hii namba ni ya nani au piga customer care yao kwenye number 0222100100 uwaulize jifanye kama vile ulifanya interview sehem sasa unahisi ndio hao wanakupigia na wewe unahitaji kujua hiyo namba ni ya nani kwani wakkikupigia wanakukosa. Kumbuka lazima uwe mjanja Ukiuliza kindazi ndazi wanaweza kukunyima information
 
Back
Top Bottom