Leta hiyo namba chapHabar zenu wandugu natumai mko pow?
Jamanii mm ninashida ya 5k kwa mtu mmoja atakaye guswa nimekwama sina hata ya kula 😥
Nikipata nitaleta mrejesho nilishawahi kuomba 2k kipindi cha nyuma nilipata
Kuna ambao watahoji mbona jf unaingia?? (Natumia freebasics)
Please aliye tayari ani-PM nitumie number natanguliza shukrani!🙏