meralyussufmeral
Member
- Apr 8, 2012
- 29
- 0
Nimenunuwa modem yangu ya vodafone na nikawa natumia kama kawaida kwa kazi zangu kwenye internet lakini kutokana na hali nikaamuwa kuitolesha lock ili niweze kutia aina yoyote ya laini lakini kwa sasa niki install katika pc nyengine huwa inaingia program yake ya vodafone kisha kabla ya kumaliza instoletion inaji remove wenyewe bila ya kui cencel sasa naombeni msaada wenu nifanyeje ili kuwa na2mia modem yangu kama kawaida lakini kuna baadhi ya computer huwa naitumia kama kawaida