Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,550
- 6,107
Madaktari na wataalamu wa afya naombeni msaada wenu tafadhali kabla sijatumia hizo dawa hapo nilikuwa vizuri tu nikiamka asubuhi nakuta mwamba kasimama dede.
Lakini tangu nitumie hizo dawa japo sikuzimaliza zote nilibakiza kama tano hivi baada ya kuona hiyo hali uume ulikuwa hausimami na mpaka leo uume hausimami kabisa asubuhi ni kwa nadra sanaaa
Naombeni msaada wakuu nifanyeje ili niweze kurudia kwenye hali yangu ya kawaida?
Msaada tafadhali wakuu.
Lakini tangu nitumie hizo dawa japo sikuzimaliza zote nilibakiza kama tano hivi baada ya kuona hiyo hali uume ulikuwa hausimami na mpaka leo uume hausimami kabisa asubuhi ni kwa nadra sanaaa
Naombeni msaada wakuu nifanyeje ili niweze kurudia kwenye hali yangu ya kawaida?
Msaada tafadhali wakuu.