kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,514
- 2,730
Kwa kifupi kuna dada nilishawahi kuwa na mahusiano nae kipindi cha nyuma kabla sijaoa, baadae nilioa tena kwa ndoa takatifu kanisani, katika siku za karibuni amekuwa akipost picha zangu katika mitandao mbalimbali ya kijamii na kuandika maneno mbalimbali ya kidhalilishaji yanayoniletea shida sana kwenye ndoa yangu, kwenye familia yangu kiujumla kwa maana ndugu zangu wamekuwa wakisumbuliwa sana na hii hali, naombeni msaada wenu nifanyeje, sheria inasemaje.