Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,081
- 2,604
Salaam wakuu.
Katika harakati za kujikwamua kimaisha na eneo nililopo naona hii biashara itanilipa.
Sasa nilikuwa nahitaji inakopatikana ile mikeka iliyoandikwa ZARI au ile ya milia. Ikiwa ni kiwandani au kwa Mchina itakuwa zaidi mana nahitaji kuuza jumla nipo Mtwara.
Natanguliza shukran.
Katika harakati za kujikwamua kimaisha na eneo nililopo naona hii biashara itanilipa.
Sasa nilikuwa nahitaji inakopatikana ile mikeka iliyoandikwa ZARI au ile ya milia. Ikiwa ni kiwandani au kwa Mchina itakuwa zaidi mana nahitaji kuuza jumla nipo Mtwara.
Natanguliza shukran.