complexi
Member
- Jul 6, 2021
- 67
- 82
Habarii JF.
Mimi ni mwanachuo,lakini kutokana na hali ya maisha ya sasa nimeona nijitafutia kitu kidogo ambacho kitanipa msingi mara nikihitimu masomo yangu
Kwahiyo nimepata wazo la kumiliki laini japo moja ya muamala lakini sijui mtaji shingapi natakiwa niwe nayo na namna gani ya kuendesha
Naombeni msaada wenu wana Jamiii.
Mimi ni mwanachuo,lakini kutokana na hali ya maisha ya sasa nimeona nijitafutia kitu kidogo ambacho kitanipa msingi mara nikihitimu masomo yangu
Kwahiyo nimepata wazo la kumiliki laini japo moja ya muamala lakini sijui mtaji shingapi natakiwa niwe nayo na namna gani ya kuendesha
Naombeni msaada wenu wana Jamiii.